08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Kumbusu mtume mkono wake.<br />

3. Hekaya:<br />

Seyyid Abdul Qadir alipokwenda Madina kumzuru Mtume<br />

(Saw) muda wa siku 40 alisimama mbele ya kaburi. Ilipotimia siku<br />

ya 40 alimwomba autoe mkono wake nje (kutoka kaburini) ili<br />

aubusu. Pale pale Mtume (Saw) aliutoa mkono wake na Seyyid<br />

Abdul Qadir aliushika na kuubusu. Tena alijiwekea juu ya kichwa<br />

chake. <strong>Al</strong>hamdulillah, utukufu ulioje wa karama.<br />

Kukutana na Mtume kwenye membari.<br />

4. Hekaya:-<br />

Siku moja Seyyid Abdul Qadir alisimama kwenye<br />

membari kutoa waadhi. Mara akashuka na akasimama kimya<br />

kitambo hivi kwa adabu na heshima. Baadaye akasimama na<br />

akatoa waadhi.<br />

Mara alipokwisha kutoa waadhi, watu walimwuliza<br />

yaliyomtokea. <strong>Al</strong>ijibu ya kuwa wakati ule Mtume alikuja pale na<br />

akampisha pale alipokaa. Na alipokuwa anaondoka alimwambia<br />

asimame na atoe waadhi alioukusudia.<br />

Kufuturu nyumba 70.<br />

5. Hekaya:-<br />

Siku moja Seyyid Abdul Qadir alipewa taarifa na watu 70<br />

mablimbali, akafuturu kwao. Ulipofika wakati wa kufuturu, kila<br />

mtu alifurahi kumwona Seyyid Abdul Qadir kuhudhuria kwake.<br />

Habari hiyo ilitapakaa Baghdad nzima. Lakini mmoja katika<br />

watumishi wake alikua akikanya kama<br />

16.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!