08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

8. Hekaya:-<br />

Mtu mmoja alitamani kwenda kumzuru Seyyid Abdul<br />

Qadir, kwa wingi wa sifa zake anazozisikia. Pindi alipofika<br />

Baghdad, alipita mahali ambapo, walikuwapo farasi 40 wakila<br />

majani pasina kuchungwa. Farasi hao walikua wake Seyyid Abdul<br />

Qadir. <strong>Al</strong>ipozidi kuwaangalia aliwaona wanayo minyororo ya<br />

dhahabu na fedha na matandiko yao ni ya hariri. Basi ikamjia fikra,<br />

“<strong>Al</strong>a! Vipi Walii mkubwa kama huyu ashughulikie mambo kama<br />

haya ya kilimwengu? Haya niliyoyaona kwake hata wafalme<br />

hawana.”<br />

Yule mgeni alipata maradhi makubwa sana kabla ya kufika<br />

alikokusudia. Kwa hiyo ilimbidi afikie nyumba nyingine badala ya<br />

nyumba ya Seyyid Abdul Qadir. Madaktari wengi walikwenda<br />

kumwangalia kwa kutaka kumtibu.<br />

Mwisho alikwenda Daktari mmoja wa Kinasara ambaye<br />

alisema kama mgonjwa yule dawa yake ni maini ya Farasi wenye<br />

sifa kadha. Watu walishughulika sana kuwatafuta. Lakini<br />

aliyekuwa na Farasi hao ni Seyyid Abdul Qadir tu. Siku ya pli watu<br />

walimwendea Seyyid Abdul Qadir kumwomba. Naye aliwapa bure<br />

farasi mmoja na kunywa dawa nyingine, Yule mgonjwa alipata<br />

nafuu kidogo. Kuona vile, watu walizidi kumwendea na<br />

kumwomba tena na waliendelea mpaka farasi wote 40 wakesha.<br />

Baada ya kupoa, yule mgeni alimuaga mwenyeji wake na<br />

akaenda kumzuru Seyyid Abdul Qadir na kumshukuru kwa wema<br />

aliomfanyia hata akapata nafuu. Seyyid Abdul Qadir alimwambia<br />

yule mgeni “Ewe kijana, hao farasi mimi niliwanunua kwa sababu<br />

yako wewe; kwa kuona unayo mapenzi makubwa juu yangu. Na<br />

ulipotia azma ya kuja kunizuru mimi nilijua kama utaumwa na<br />

dawa yako ni maini ya farasi. Lakini wewe pale ulipopita karibu<br />

yao na ukawaona, roho yako iliharibika na ukaleta fikra mbaya juu<br />

yangu.” Tena yule kijana alimwomba msamaha na kumtaka radhi<br />

kwa tukio hilo.<br />

19.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!