08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Faida:-<br />

Sayyid Abdul Qadir alipokuwa akiumwa siki moja aliwahi<br />

kuzimia. Wakawa wanawe na wakeze wanalia, Mara tu baada ya<br />

kupata fahamu, alisema, “Msilie nitapona, kwani mgongoni<br />

mwangu bado yuko mtoto mmoja Yahya” wale watu walidhania ati<br />

maneno ya kigonjwa. Kumbe ni ya kizima. Kwani alipona katika<br />

ule ugonjwa, na alimzaa huyo Yahya kama alivyosema. Mtoto<br />

huyo alimpata kwa Suria wake Halima. Mtoto huyo ndiye<br />

aliyekuwa kitinda-Mimba.<br />

xviii Wasia wake juu ya mwanawe, Abdul-Razak.<br />

1. Kumcha Mungu.<br />

2. Kumtii Mungu.<br />

3. Kufuata sharia<br />

4. Kuhifadhi mipaka ya Mungu<br />

5. Kuwatunza na kuwarehemu mafukara<br />

6. Kuwatukuza Masheikh<br />

7. Kuishi na ndugu kwa wema.<br />

8. Kuacha kugombana ila kwa mambo ya Dini ikiwa<br />

inavunjwa.<br />

9. Kutomtegemea mtu kwa kumfanyia kazi zake.<br />

xvii. Karama za Seyyid Abdul Qadir.<br />

(maana ya karama).<br />

Karama ni mambo ya ajabu yenye kudhibiti kwa Mawalii.<br />

Ama mambo kama hayo yanapotokana na Mitume huitwa<br />

„Miujiza‟.<br />

13.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!