You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Faida:-<br />
Sayyid Abdul Qadir alipokuwa akiumwa siki moja aliwahi<br />
kuzimia. Wakawa wanawe na wakeze wanalia, Mara tu baada ya<br />
kupata fahamu, alisema, “Msilie nitapona, kwani mgongoni<br />
mwangu bado yuko mtoto mmoja Yahya” wale watu walidhania ati<br />
maneno ya kigonjwa. Kumbe ni ya kizima. Kwani alipona katika<br />
ule ugonjwa, na alimzaa huyo Yahya kama alivyosema. Mtoto<br />
huyo alimpata kwa Suria wake Halima. Mtoto huyo ndiye<br />
aliyekuwa kitinda-Mimba.<br />
xviii Wasia wake juu ya mwanawe, Abdul-Razak.<br />
1. Kumcha Mungu.<br />
2. Kumtii Mungu.<br />
3. Kufuata sharia<br />
4. Kuhifadhi mipaka ya Mungu<br />
5. Kuwatunza na kuwarehemu mafukara<br />
6. Kuwatukuza Masheikh<br />
7. Kuishi na ndugu kwa wema.<br />
8. Kuacha kugombana ila kwa mambo ya Dini ikiwa<br />
inavunjwa.<br />
9. Kutomtegemea mtu kwa kumfanyia kazi zake.<br />
xvii. Karama za Seyyid Abdul Qadir.<br />
(maana ya karama).<br />
Karama ni mambo ya ajabu yenye kudhibiti kwa Mawalii.<br />
Ama mambo kama hayo yanapotokana na Mitume huitwa<br />
„Miujiza‟.<br />
13.