Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
in Yahya bin Muhammad bin Daudi bin Mussa bin Abdillah Bin<br />
Mussa bin Abdillahi bin Hassan bin Seyyid Hassan bin <strong>Al</strong>ly bin<br />
Abi Talib. Yaani nduguye Mtume (Saw).<br />
(b). Nasabu yake kwa kukeni.<br />
Yeye ni mtoto wa Bi Fatma Bint Seyyid Abdillah Sawmaiy<br />
Bin Seyyid Mahmoud bin Issa Bin Muhammad Bin <strong>Al</strong>i Bin Mussa<br />
Bin Jaafari Swadiq Bin Muhammad Bin Seyyidna Hussein Bin<br />
<strong>Al</strong>ly Bin Abi Talib.<br />
Unapoangalia nasabu zake zote yaani kukeni na kuumeni, utaona<br />
kama zimekutana kwa Seyyidna <strong>Al</strong>i bin Abi Talib; yaani nduguye<br />
Mtume (Saw).<br />
iv. Kukua kwake na kusoma Qur ani<br />
Seyyid Abdul Qadir alikuwa akikua na akiishi katika hali<br />
nzuri. Mji wake uliingia neema kubwa kabisa baada ya kuzaliwa<br />
kwake. Seyyid Abdul Qadir alipewa Uwalii na hali ya kuwa ni<br />
mtoto kama Nabii Isa alivyopata Utume katika hali hiyo hiyo.<br />
Ishara zilizoonyesha kama yeye ni Walii ni nyingi na katika<br />
hizo ni:-<br />
(i) Kutamka „Hatifu‟ maneno siku ya mwanzo<br />
alipopelekwa chuoni kusoma Qur an. Maneno<br />
yenyewe ni haya “Mfanyieni nafasi ya kukaaWalii wa<br />
Mwenyezi Mungu”.<br />
(ii) Kusifiwa kwake na „Abdal‟ kwa kusema: “Mtoto<br />
2.