08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

in Yahya bin Muhammad bin Daudi bin Mussa bin Abdillah Bin<br />

Mussa bin Abdillahi bin Hassan bin Seyyid Hassan bin <strong>Al</strong>ly bin<br />

Abi Talib. Yaani nduguye Mtume (Saw).<br />

(b). Nasabu yake kwa kukeni.<br />

Yeye ni mtoto wa Bi Fatma Bint Seyyid Abdillah Sawmaiy<br />

Bin Seyyid Mahmoud bin Issa Bin Muhammad Bin <strong>Al</strong>i Bin Mussa<br />

Bin Jaafari Swadiq Bin Muhammad Bin Seyyidna Hussein Bin<br />

<strong>Al</strong>ly Bin Abi Talib.<br />

Unapoangalia nasabu zake zote yaani kukeni na kuumeni, utaona<br />

kama zimekutana kwa Seyyidna <strong>Al</strong>i bin Abi Talib; yaani nduguye<br />

Mtume (Saw).<br />

iv. Kukua kwake na kusoma Qur ani<br />

Seyyid Abdul Qadir alikuwa akikua na akiishi katika hali<br />

nzuri. Mji wake uliingia neema kubwa kabisa baada ya kuzaliwa<br />

kwake. Seyyid Abdul Qadir alipewa Uwalii na hali ya kuwa ni<br />

mtoto kama Nabii Isa alivyopata Utume katika hali hiyo hiyo.<br />

Ishara zilizoonyesha kama yeye ni Walii ni nyingi na katika<br />

hizo ni:-<br />

(i) Kutamka „Hatifu‟ maneno siku ya mwanzo<br />

alipopelekwa chuoni kusoma Qur an. Maneno<br />

yenyewe ni haya “Mfanyieni nafasi ya kukaaWalii wa<br />

Mwenyezi Mungu”.<br />

(ii) Kusifiwa kwake na „Abdal‟ kwa kusema: “Mtoto<br />

2.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!