08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

usiopungua miaka 25 akifanya Ibada. Siku moja alisikia sauti<br />

iliyomwambia, “Rudi Mjini watu wanakuhitaji kwa manufaa ya<br />

Akhera“. <strong>Al</strong>isema Seyyid Abdul Qadir:- "Mimi nimekuja huku<br />

kufanya Ibaada kwa kutafuta salama ya Dini yangu, na kuepuka na<br />

fitina za Baghdad“. Kusikia vile tena akaambiwa.“Rudi na<br />

utasalimika Mungu akipenda“. Kusikia vile Seyyid Abdul Qadir<br />

alirudi huku moyo wake umejaa siri za Mungu.<br />

Maneno kujitokeza:<br />

17. Hekaya:-<br />

Kila alipokuwa akikaa Ghawth-A`adham walikuwa<br />

hawaondoki Mawalii – Iwapo amekaa kimya basi maneno hutaka<br />

kujitokeza na kufika mpaka kwenye koo. Basi yakifika hapo hua<br />

hawezi tena kunyamaza bali huwapa siri katika elimu ya “Hakika”.<br />

Unyayo wangu uko shingoni mwa kila walii:<br />

17. Hekaya:-<br />

Maneno haya alipewa idhini na Mtume kuyasema. Na siku<br />

alipoyatamka Baghdad, Mawalii wote wa Ulimwengu mzima<br />

waliyasikia na kila mmoja aliinamisha shingo yake kwa kuridhia<br />

maneno yaliyotamkwa.<br />

Yasemekana walii mmoja wa Damask, Sheikh Rasalam<br />

alisema: “Ewe Mwenyezi Mungu, ninakushuhudiza wewe na<br />

Malaika wako kuwa nimeyasikia maneno ya Bwana<br />

24.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!