08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Faida. i.<br />

Hizi Twariqa ziko namna nyingi, nazo zinapata kama 17.<br />

Katika hizo ni Qadiry, Shadhily, Nakshahabandy, Indarusy<br />

n.k.<br />

Ama Twariqa yoyote akiifuata mtu kama<br />

inavyohitajia, basi itaweza kumfikisha kwa Mwenyezi<br />

Mungu. Kwani lengo lao ni moja tu lakini kwa yote hayo<br />

niliyoeleza inapasa kupatikana Sheikh Mwongofu wa<br />

kukupa „Ijaza‟ na kukufundisha njia za kupita na kukupa<br />

wasia. Huyu mtu anayepewa „Ijaza‟ na Sheikh huitwa<br />

„Muridi‟ Kwa hivyo kila Murid ajitahidi sana kutekeleza<br />

ahadi atakazopewa na Sheikh wake.<br />

Faida ii.<br />

Yatakiwayo kwa Muridi<br />

1. Kutubia kwa Mwenyezi Mungu.<br />

2. Kufanya Ibaada kiasi ya uwezo wake.<br />

3. Kufanya mambo yalio halali<br />

4. Kuacha mambo yaliyo haramu.<br />

5. Kumdhukuru Mungu<br />

6. Kushikamamna na “Laa ila ha illa Llah” hasa baada<br />

ya kila Sala mara 165 na wakati mwngine kiasi ya<br />

kuweza kwake.<br />

7. Kusoma sana Qur an kwa kila hali.<br />

8. Kuwasamehe wenye kukuudhi.<br />

9. Kuwa mstahamilivu.<br />

10. Kuwa karimu<br />

11. Kuacha husda, kijicho, choyo, uwongo wa<br />

kuwasengenya watu.<br />

12. Kudumu na udhu.<br />

13. Kumsalia Mtume (S.a.w) kwa wingi.<br />

9.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!