08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

aonane na Seyyid Abduil Qadir. Kwa uchungu wa mwanawe<br />

ilimtoka subra na akawa anamwandama Seyyid Abdul Qadir kwa<br />

maneno. <strong>Al</strong>isema: “Ewe Ghawthil Aadham, unakula kuku na<br />

unamwacha mwanangu anakula vipande vya mikate ya shairi hata<br />

amekuwa mwembamba kama uzi?“ Seyyid Abdul Qadir hakujibu<br />

chochote isipokuwa aliikusanya ile mifupa na akasema mbele ya<br />

yule mwanamke: “Ewe kuku simama kwa idhini ya Mungu<br />

mwenye kuhusisha mifupa iliyochakaa,” Mara tu baada ya kusema<br />

vile mifupa iligeuka kuku ambaye alisimama mbele ya yule<br />

mwanamke.<br />

Naam hapo Seyyid Abdul Qadir ndipo alipomneneza yule<br />

mwanamke kwa kusema: “Ninapenda mwanao aweze kama haya,<br />

kwa kupata daraja kama hili, anaweza kula chakula chochote<br />

akitakacho mwenyewe”. Mwisho yule bibi alimtaka radhi Seyyid<br />

Abdulm Qadir na akamwambia, “Ewe Seyyid Abdul Qadir,<br />

yaliyonipelekea kusema hayo ni uchungu wa mwanangu tu. Na<br />

tangu sasa hivi nakupa uhuru ufanye utakavyo juu ya mtoto huyo.”<br />

20. Hekaya:-<br />

Kushiba kwa kufyonza kidole:<br />

Sheikh Muhammad Shawry Sabty aliondoka Misri<br />

kwenda kumzuru Seyyid Abdul Qadir. <strong>Al</strong>ikaa huko kwa siku<br />

nyingi. Sheikh Muhammad alipofunga safari ya kwenda nyumbani,<br />

alipewa wosia na Seyyid Abdul Qadir. Wosia wenyewe ni huu:<br />

"Usitake haja kwa mtu yeyote.“ Baada ya kuusiwa alipewa zawadi<br />

na vyakula vya kula anapokuwa safarini.<br />

Lakini kabla ya kuondoka Seyyid Abdul Qadir alikitia<br />

kidole chake ndani ya kinywa cha Sheikh Muhammad na<br />

akamwambia akifyonze. Baada ya kufanya hivyo tena<br />

26.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!