Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
xiv. Siri ya Ilmu ya tasawuf:<br />
Ilmu ya Tasawfu imefanywa kwa mambo yafuatayo:-<br />
Faida:-<br />
(i) Ukarimu.<br />
(ii) Kuridhia hukumu ya Mungu.<br />
(iii) Subira<br />
(iv) Ishara<br />
(v) Upweke<br />
(vi) Kuvaa nguo za sufi<br />
(vii) Kwenda sana<br />
(viii) Umaskini.<br />
Katika hizo sifa nane zilizotajwa hapo juu, zimechukuliwa<br />
kutokana na Mitume wanane mbalimbali:-<br />
1. Ukarimu: Ilikuwa sifa kubwa sana ya Nabii Ibrahim<br />
(Asw).<br />
2. Ridhaa: (kuridhia), ni sifa ya Nabii Is-haq. (As).<br />
3. Subra: Ni sifa ya Nabii Ayub, (A.s)<br />
4. Ishara: Ni sifa ya Nabii Zakaria (A.s)<br />
5. Sufi: Ni kivazi cha Nabii Yahya (A.s)<br />
6. Upweke: Ni sifa ya Nabii Yusufu (A.s)<br />
7. Kwenda : Ni sifa ya Nabii Issa, (As) na ndio maana<br />
akaitwa „Masihi‟<br />
8. Umaskini: Ni sifa ya Nabii Muhammad (Saw).<br />
10.