08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

xiv. Siri ya Ilmu ya tasawuf:<br />

Ilmu ya Tasawfu imefanywa kwa mambo yafuatayo:-<br />

Faida:-<br />

(i) Ukarimu.<br />

(ii) Kuridhia hukumu ya Mungu.<br />

(iii) Subira<br />

(iv) Ishara<br />

(v) Upweke<br />

(vi) Kuvaa nguo za sufi<br />

(vii) Kwenda sana<br />

(viii) Umaskini.<br />

Katika hizo sifa nane zilizotajwa hapo juu, zimechukuliwa<br />

kutokana na Mitume wanane mbalimbali:-<br />

1. Ukarimu: Ilikuwa sifa kubwa sana ya Nabii Ibrahim<br />

(Asw).<br />

2. Ridhaa: (kuridhia), ni sifa ya Nabii Is-haq. (As).<br />

3. Subra: Ni sifa ya Nabii Ayub, (A.s)<br />

4. Ishara: Ni sifa ya Nabii Zakaria (A.s)<br />

5. Sufi: Ni kivazi cha Nabii Yahya (A.s)<br />

6. Upweke: Ni sifa ya Nabii Yusufu (A.s)<br />

7. Kwenda : Ni sifa ya Nabii Issa, (As) na ndio maana<br />

akaitwa „Masihi‟<br />

8. Umaskini: Ni sifa ya Nabii Muhammad (Saw).<br />

10.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!