08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

si kweli, kwa sababu yeye alimwona kakaa juu ya takia lake wala<br />

hakutoka. Mwisho mwenyewe SEyyid Abdul Qadir<br />

aliyathibitisha maneno wayasemayo watu kuwa ni kweli.<br />

<strong>Al</strong>imwambia yule mtumishi wake, “Ni kweli nimekwenda kufuturu<br />

kwa watu 70. mmoja mmoja”.<br />

Kumfufua maiti aliyekwisha kuoza<br />

6. Hekaya:-<br />

Siku moja Seyyid Abdul Qadir alipita katika kijiji, na<br />

aliwakuta watu wawili wanashindana. Mmoja kati ya hao alikuwa<br />

Mwislam na wa Pili alikuwa Mkristo. Seyyid Abdul Qadir<br />

aliwauliza sababu ya kushindana kwao. Yule Mwislam alijibu<br />

“Huyu Mkristo eti anasema kuwa Mtume wao ni bora kuliko<br />

Mtume wetu. Na mimi nasema kuwa Mtume wetu ndiye bora<br />

zaidi”. Seyyid Abdul Qadir alimwuliza yule Mkristo. “Dalili gani<br />

uliyonayo inaonyesha kuwa Nabii Isa ni bora kuliko Nabii<br />

Muhammad (Saw)?” Yule Mkristo alijibu, “ Mtume wetu alikuwa<br />

akifufua maiti.” Tena Seyyid Abdul Qadir alimwambia Mkristo.<br />

“Mimi vilevile nafufua maiti wala si mtume, bali ni mfuasi wake<br />

tu. “Tena Seyyid Abdul Qadir. alimuliza Mkirsto, “Je nikimfufua<br />

maiti utamwamini Nabii Muhammad?” “ Ndiyo, alisema Mkristo.<br />

Tena alisema Seyyid Abdul Qadir alimwambia yule Mkristo,<br />

“Nionyeshe kaburi la mtu aliyekufa zamani.”<br />

Yule Mkristo alifuatana na Seyyid Abdul Qadir na yule<br />

kijana kwenda kwenye kaburi ambalo mwenyewe keshaoza<br />

zamani. Walipofika pale Seyyid Abdul Qadir alimuliza yule<br />

Mkristo “Mtume wenu alikuwa akiwafufua maiti wenu kwa<br />

maneneo gani?” Yule Mkristo alisema, “<strong>Al</strong>ikuwa akimsemeza<br />

maiti kwa kumwambia asimame kwa idhini ya Mungu. Seyyid<br />

Abdul Qadir alimwambia Mkristo<br />

“Mimi nitamfufua kwa idhini yangu” Mara baada ya kusema<br />

17.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!