08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Kwa hakika Seyyid Abdul Qadir alikuwa na karama nyingi mno.<br />

Karama zilikuwa ni dalili za kuonyesha kama alikuwa ni Walii. Na<br />

kila zikizidi ni ishara au ni dalili ya kuonyesha utukufu wa daraja<br />

yake kwa Mwenyezi Mungu.<br />

Kila Muridi wa Seyyid Abdul Qadir, ajue kama<br />

amebahatika mno. Kwani Muridi wake hafi ila awe ametubia, kwa<br />

Mungu, Na huko Ahera hatoingia Motoni.<br />

Mwenyezi Mungu atudumishie mapenzi yetu kwa Seyyid<br />

Abdul Qadir hasa, na Mawalii wengine kwa jumla.Tena Mwenyezi<br />

Mungu atuepushe na madhambi makubwa na madogo pia.<br />

Amin! Amin! Amin!<br />

Hizi ni baadhi ya katika karama zake:<br />

Kwenda mbinguni<br />

1. Hekaya:-<br />

Seyyid Abdul Qadir alikwenda Mbinguni, si kwa kiwili<br />

wili na roho, bali ni kwa roho tu. Huko ni kusema alikwenda<br />

Miiraji. Naye alisimama mahala pale pale „Kaaba kawsayn‟<br />

ambapo alisimama Mtume wakati alipokwenda Miiraji, Huko<br />

alimwona Seyyidna Israil, aliiona Lawhil-Mahfudh na Kursy, Si<br />

tu; bali aliiona mpaka Nuru ya Mwenyezi Mungu (Jalla -Jalaluhu).<br />

Wakati alipofika hapo “Kaaba Kawsayni” alipewa amri ya<br />

kusimama na akaambiwa “Njoo, usiogope. Tumeyakunja mapazia<br />

yetu. Hebu inama unywe upate kuniona.<br />

“Neema iliyoje, mtu kuiona Nuru ya Mwenyezi Mungu”.<br />

14.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!