08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

DIBAJI:<br />

Sifa zote njema zinamstahiki ALLAH ambaye<br />

amefundisha kwa wasta wa kalamu. Na akamfundisha Mwana<br />

Adam lile asilolijua. Na Rehma na Amani Zimwendee Bwana<br />

Mtume Saw na Ahly zake watukufu na Maswahaba wake watiifu.<br />

Kwa ridhaa ya mtunzi wa kitabu hiki ambae ni kiongozi<br />

mkuu na Mlezi wa Twariqatul-Qadiriya– Rrazziqiya–Jaylaniya <strong>Al</strong><br />

habib Sheikh Salim ibn Mbarak –(Dar-weish Mti mkavu) –<br />

(Radhia ALLAH Anhu). Naandika Dibaji ya kitabu hiki kwa<br />

munassaba wa kuya yakinisha yaliyomo kwenye kitabu hiki.<br />

Kwa hakika kitabu hiki kimeelezea historia na sifa kadhaa<br />

za Bwana wa Mawalii Seyyid Sheikh Abdul-Qadiri- Jaylani<br />

(Qada-sa-Llahu-Siral-Aziz)<br />

Basi ukiwa utajaaliwa kusoma kitabu hiki utamjua vilivyo<br />

alivyo Walii wa Mwenyezi Mungu na Uasili wa Twariqa kwa<br />

ujumla.<br />

Insha-<strong>Al</strong>lah tunamuomba <strong>Al</strong>lah amjaalie kila la kheri mtunzi<br />

wa kitabu hiki Sheikh Salim amjaalie Mahaba zaidi ya kudarisisha<br />

hususan kwa kutunga vitabu vingi zaidi vitavyotoa Ilmu na<br />

muongozo wa ibada za Kitwariqa kwa misingi ya Kitassawfu.<br />

Aamiin Aamiin Aamiin wal-hamdulillahi Rabbil-A`alamiin<br />

Khalifa Mohamed Omar.<br />

Mwenyekiti wa Twariqatul-Qadiriya-Rrazziqiya-<strong>Al</strong>-Jaylaniya<br />

Makao Makuu Ya Twariqa – Zawiya Kuu<br />

S.L.P. 8105<br />

Arusha.<br />

Tanzania (E.A)<br />

vi.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!