08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

wa Mawalii na nimeyakaribisha. Tena akanyoosha shingo yake<br />

kuonyesha kuwa ameridhia.<br />

Nuru katika kidole chake.<br />

18.Hekaya:-<br />

Siku moja Seyyid Abdbul Qadir aliondoka usiku pamoja<br />

na Masheikh watatu kwenda kuzuru kaburi la Imam Aba Hanifa,<br />

Usiku huo ulikuwa na giza kubwa sana. Hapa na hapo huwezi<br />

kupaona. Lakini Seyyid Abdul Qadir alipofika penye jiwe au mti<br />

aliashiria kwa kidole chake. Na wakati huo lile jiwe au mti<br />

hung‟ara sana mfano wa mbalamwezi kali. Waliendelea na hali<br />

hiyo mpaka wakafika walikotaka na wakafanya waliyokusudia.<br />

Wakati wa kurudi Seyyid Abdul Qadir alikuwa akiashiria<br />

kwa kidole vile vile kwenye hatari na kutoka mwanga mkali<br />

kwenye kile kitu. Tena walipofika<br />

nyumbani kwa Seyyid Abdul Qadir, wale Masheikh waliaga na<br />

wakaenda zao.<br />

Mifupa kuigeuza kuku aliye hai:<br />

19. Hekaya:-<br />

Bibi mmoja alimpeleka mwanawe kwa Seyyid Abdul<br />

Qadir kusomeshwa elimu. Mtoto huyo aliwekwa mahala maalum<br />

kazi yake ni kufanya ibada tu kabla ya kusomeshwa Ilmu.<br />

Siku moja mama yake yule mtoto kuja kumkagua. Lakini<br />

hali alivyomwona nayo mwanawe kidogo haikumpendeza.<br />

<strong>Al</strong>ikuwa amedhoofu sana. <strong>Al</strong>ipita ndani ili<br />

25.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!