08.06.2013 Views

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

Read - Al-Faqeer

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

Vile, Seyyid Abdul Qadir alimwambia maiti “Simama kwa idhini<br />

yangu”. Saa ile ile alitoka hali ya kuwa yu hai. Yule Mkirsto<br />

kuona vile basi hakusita ila alitoa shabaha mbiombio, na<br />

kumwamini Nabii Muhammad (Saw) mbele ya Seyyid Abdul<br />

Qadir (k.s.a).<br />

Haramia kumgeuza kuwa kutbu:<br />

7. Hekaya:-<br />

Seyyid Abdul Qadir alipokuwa anarudi Madina kwenda<br />

Baghdad, alikumbana na haramia njiani akimngojea mtu ye yote<br />

apitae amnyang‟anye vitu alivyokuwa navyo. Seyyid Abdul Qadir<br />

alipofika pale alimwuliza yule mtu, “Nani wewe?” Yule mtu<br />

alisema kuwa yeye ni haramia. Pale pale Seyyid Abdul Qadir<br />

alikashfiwa na aliona jina lake ni miongoni mwa watu waovu.<br />

Lakini yule mwizi ilimpitia katika roho yake na akawaza kuwa<br />

asiwe huyu ndiye Seyyid Abdul Qadir. Mara tu alivyofikiri vile na<br />

Seyyid Abdul Qadir alimwambia, “Mimi ndiye Abdul Qadir.” Yule<br />

mtu aliposikia vile mara alianguka chini ya miguu ya Seyyid Abdul<br />

Qadir na akasema, “Ewe Bwana wangu, Abdul Qadir kipenzi cha<br />

Mungu.” Muda ule ule Seyyid Abdul Qadir alisikia akiambiwa,<br />

“Ewe Ghawth Mtukufu, mfundishe huyo mwizi njia ya haki”. Tena<br />

Seyyid Abdul Qadir alimfundisha njia ya haki yule mwizi na<br />

mwishoni alikuwa ni mmoja katika Makutbu (Mawalii).<br />

Kusilimu kafiri kwa kuona karama za seyyid<br />

Abdul Qadir.<br />

18.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!