ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
105<br />
katika koti pia. Na pili aondolewe mamlakani kwa njia ya impeachment.<br />
Parliament – ama Bunge – Bunge iwe ndiye ina nguvu katika serikali yote, kusiwe na mkono mwingine wa serikali ulio na nguvu<br />
kuliko bunge. Pia, bunge ipewe mamlaka ya kuunda sheria. Tatu, bunge uwezo wake wakugawa cake ya taifa, uifadhiwe, na<br />
iongezwe nguvu hiyo kwa njia kando. Nne, mbunge aliyechaguliwa, awe mtu wa kutunza mali ya uma kutoka shinani mpaka<br />
katika gazi za kitaifa. Vipi Asipofanya hivyo, watu wawe na uwezo wa kumuita tena na kumufua mamlaka na kumchagua<br />
mwingine. Tano, katika kuongeza kodi, bunge lazima iulizwe maoni yake, idhibitishe jambo hilo wanacommissioner lakini sio<br />
serikali kukaa na kuamua kwamba lazima wapandishe kodi. Tukichagua wambunge wetu kama wananchi wa kawaida, Rais<br />
asikumbaliwe kuchagua mawaziri kutoka kudi hilo la wambunge. Achague mawaziri kutoka nje kwa sababu, akiwachagua<br />
hawa watakoma kutuwakilisha na kuakilisha matako yetu katika bunge.<br />
Kila mtu awe amefikisha kiwango cha elimu cha O’ level kiwango hicho, kutoka form one mpaka form 4 na akapita vizuri na<br />
grade ya B- na kwenda mbele ama mfumo ukibandalika, grade ambayo inafanana na hiyo.<br />
Watumishi wa uma wakubaliwe pia kuacha kazi kwa muda na kuwania viti vya siasa. Isiwe, tunawafungia viongozi wazuri<br />
katika kuanjiri kazi za serikali, hata kama wanaendelea kuongoza nchi kwa njia isiofaa. Wakimaliza, kura akishindwa atarudi<br />
katika kazi yake.<br />
Pia mishahara ya bunge, bunge lijiongezea mishahara, bunge yetu ya Kenya, kuwe na tume ya kushughulikia mishahara ya bunge<br />
na pia marupurupu yao na bima zao katika insurance companies kwa sababu kila MP sasa, ama assistant minister anapata<br />
mshahara wa zaidi ya nusu million na marupurupu na bina ambazo ni za million kumi kila mmoja. Haya, katika upande wa<br />
sheria, Attorney General ambaye amechukua majukumu matatu, moja, kuwa ndiye mshauli mkuu wa serikali kisheria, na pia<br />
ndiye director wa masitaka na tatu ni mmoja wa wabunge ambaye ana uwezo wa kufuatilisha ijadara katika bunge. Majukumu<br />
haya matatu hayawezi kubebwa na mtu mmoja, lazima njia itafutwe ya kumpatia Attorney General jukumu moja tu kama na<br />
Director wa prosector ama na mshauli wa serikali kisheria, ama ni mmoja wa wabunge. Pili, mtu hutumia pesa nyingi sana<br />
katika kuhakikisha kwamba amepata haki yake katika koti. Ili kuepukana na<br />
Com. Abubakar: Jaribu kumalizia sasa.<br />
Patrick Kwiria: Namalizia, kama namalizia basi nitakimbia.<br />
Sheria – vyama vya siasa ziwe vichache. Na kuna njia, katika kila eneo, kama ni Eastern Province, kama ni Western area,<br />
kama ni Northern Kenya, kama ni South kuwe na chama kimoja kilicho na wafuazi wengi upande huo, na kikubaliwe na sheria<br />
kuandikishwa kama chama cha siasa, ili group ya viyama vya siasa isiwepo.<br />
Masomo – tuwe na mfumo wa masomo, ambao unafaida katika maisha ya watu binafsi na maisha ya taifa nzima kwa sababu<br />
kuna wengi wamesoma lakini masomo waliosoma, hayatufai, kama watu binafsi ama kama taifa. Kwanza mfumo wa elimu,<br />
uhakikishe kwamba umejenga umoja katika nchi hii ili uwe umehakikisha kwamba, umetoa kisazi ambacho kinapenda ukweli na<br />
si kizazi cha watu ambao ni wafisandi, kuna njia. Tatu, masomo haya yanadhalimu wazazi pesa nyingi sana kabla watoto wao<br />
hawajamaliza shule, kila wakati vitabu vinabadilishwa kwa nia ambayo isiojulikana. Kitabu kimocha kinaongezwa topic moja