ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
121<br />
Patricio Miriti: Na manto ja maingi kinya kuurwa.<br />
Translator: Na mambo mengi ata akiianza kupigwa,<br />
Patricio Miriti: Akaorwa imuntu akauga kwa polisi irio mantu ja thoka bure. Ni untu bunga mtu uria umuurire arina<br />
mbesha niwe ukathekwa na uu arekerwe.<br />
Translator: Anaseme, yeye hata akipigwa na mtu, halafu aende a-report kwa police, ndio shida zaidi, juu sasa yule mtu<br />
amempiga pengine ako na pesa, yeye ndiye ataachwa huko, yule amempiga aachiliwe.<br />
Patricio Miriti: Na riu niyo thiina iria tukuga thirikari imenyere muno.<br />
Translator: Na sasa hiyo ndio shida tunasema serekali iangalie sana.<br />
Patricio Miriti: Kwou inya yetu ni thirikari.<br />
Translator: Sasa nguvu yetu, ni serikali,<br />
Patricio Miriti: Na ameru mbere, ibaugaga<br />
Translator: Na wameru mbeleni, walikuwa wanasema,<br />
Patricio Miriti: Ameru tene baugaga, mkuru akura achoke nyuma, nthaka imumenyere. Nande thirikari imenyere<br />
nthaka.<br />
Translator: Kwa wameru zamani alikuwa amesema, mzee akizeeka, yeye hurudi nyuma, vijana wanakuwa mbele ndio<br />
wamchunge. Sasa hio serikali iwachunge hawa vijana.<br />
Patricio Miriti: Na maoni yangu Bwana Commissioner, ni hiyo tu. Thank you.<br />
Com. Abubakar: Asante sana, Mungu akumbaliki asante sana – tafadhali andika jina pale. Nilisema Mugambi Mbaaraya,<br />
hayuko Kanampio Rugoji, Clearntin Ntoriburu, Charles Rimiri,<br />
Charles Rimiri: Thank you Mr. Commissioner, I’m Charles Rimiri, Eologian and HIV AIDS student from Nairobi Jomo<br />
Kenyatta University. I am here to give the following proposals. We look that the government we have today, has some<br />
______ issues and ethical issues which make it difficulty to find out this disease which is HIV AIDS, so I propose that those<br />
ethical issues should be reviewed. There should be no confidentiality in the code of conduct in the doctors conduct. There<br />
should also be that the family concerned over who has been found to be infected with the virus, should be exposed so that they<br />
can know how to manage the situation to prevent further infection.<br />
The other thing I have to put forward, this time is that, for the case of the governance, we look that we have one parliament, but