ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
91<br />
Crowd: Ndio.<br />
Com. Abubakar: Endelea mzee.<br />
Musa Kiria: iu niyo ngugi ya njuri ncheke ya kuthikirie magamba ja miunda.<br />
Translator: Hiyo ndio kazi ya njurincheke kupeana hofu na kuangalia macase ya mashamba.<br />
Musa Kiria: Na ukethrwa uthithitie makosa na ukanyua mumma jwomba kukuthiria.<br />
Translator: Na sasa ukiwa umekosea, ukikula hio oath, inaweza kukuumiza.<br />
Musa Kiria: Na mwene miunda agachokerwa<br />
Translator: Na mwenye shamba anarudishiwa.<br />
Musa Kiria: Ya jairi itwe tutegaga manto ja ana.<br />
Translator: Ya pili sio ndiyo tunaangalia mambo ya watoto<br />
Musa Kiria: Igita mwana wa muthaka akekira mwana wa mwari eiu.<br />
Translator: Zamani kama kijana anampeya msichana mtoto,<br />
Musa Kiria: Nomwanka akaria na dume.<br />
Translator: lazima angelipa na dume.<br />
Musa Kiria: Na arere mwana uu mwanka akinyie miaka iria ikwendeka.<br />
Translator: Na amlee yule mtoto mpaka afikishe umri unatakikana.<br />
Musa Kiria: Ria jairi<br />
Translator: Ya pili,<br />
Musa Kiria: Manatone ja Majni na Miitu<br />
Translator: Upande wa maji na vizima na misitu<br />
Musa Kiria: Njuri ncheke nio imenyagerera<br />
Translator: Njurincheke ndio ilikuwa inashughulika na kutunza<br />
Musa Kiria: Na tha iji niteka ithiritwe.