ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
59<br />
wajumbe wake. Ningependelea vile vile President asiwe ni Member of Parliament ili aweze kuwa an control constituencies zote<br />
za Kenya bila kupendelea constituency moja ambayo anasema ni yake. Ikiwa hivyo President atakuwa ni mjumbe wa Kenya<br />
mzima na ataweza kuangalia masirahi yote ya wananchi wa Kenya. Na ningependelea katika hali ya maisha ya President, asiwe<br />
anapitisha umri wa miaka 70 akiwa katika kiti, ili apatiwe vipindi viwili peke yake, ya miaka mitano mitano na ikimalizika naye,<br />
alitae aende akapumzike kama watu wengine.<br />
Na katika hali ya mwisho ya President, ningependelea awe hawezi kuwa above the law, awe ni kama wananchi wengine,<br />
akifanya makosa akiwa office ajihusuru ili aweze kupelekwa kotini mara moja. Ya pili ningesungumza hapa katiba juu ya<br />
wajumbe wa bunge ambao ningependelea wajumbe wa bunge, wakienda bunge kuwe na sheria ambaye italinda waliomchagua<br />
akiwa hafanyi kazi aweze kuondolewa mara moja hata kama miaka mitano haijamalizika.<br />
Ile ingine ningependa wajumbe wasipatiwe nafasi ya kucheza na katiba ambaye tunaitengeneza wakati huu, ati wakienda bunge<br />
kila wakati wanaibadirisha badirisha, ikiwa inataka kubadirishwa, iletewe wananchi wakubari mabadirisho au wakatae.<br />
Ningependelea vile vile kuwe na board ambaye intashughulika na hali ya wambunge isiwe kama vile ilivyo sasa hati wao<br />
wanajipatia mishahara million moja wakati mwalimju anakosa mshahara wa elfu tano. Ningependelea vile vile wambunge<br />
wakati wanapatiwa magari, wapatiwe magari rahisi rahisi ambaye haitatumia pesa za wananchi mingi sana wakinunuliwa Marange<br />
rover na ma-trooper. Wanunuiwe gari ambazo mwananchi wa Kenya ataweza kuidumu kuinunua. Vilevile<br />
ningependelea katika bunge letu lijalo wabunge wote, wawe wakiwatumikia watu na katika utumishi wao vile vile nao wapatiwe<br />
vipindi ambavyo wanaweza kukaa kwa bunge, nayo hiyo ni kutoka miaka tano hadi kumi na tano. Jambo lingine hapa,<br />
ningesema katika local government ma-councillors nao wanafaa waangaliwe na katiba mpya wapatiwe mshahara ambao<br />
wataweza kudumu na kuelimisha watoto wao maanake wakati huo anapatiwa sijui elfu kumi wakati mbunge naye anapatiwa<br />
elfu kama 500 na marupurupu juu yake. Ma-mayor nao ambao wanaongoza city zetu za Kenya, inafaa wawe wana elimu ya<br />
kutosha na zaidi wawe wana elimu kutoka ya university ili waweze kuendesha city zetu za Kenya na jia ambao ni nzuri.<br />
Ma-councillors nao wawe ni watu ambao wana elimu ya kutoka form 4 ili vile vile nao wawe wakielewa ni wapi mambo<br />
yanaendelea. Katika utumishi, kusiwe na ugawanyishi wa majimbo katika nchi yetu ya Kenya, ili tuweze kuishi pamoja kama<br />
dugu lakini county councils zipatiwe nafasi yakutumia rasrimali zao ili waweze kuwasaidia wananchi wa council yao kwa vile<br />
mapato wanapata kule.<br />
Langu la kumaliza niseme wananchi wa Kenya katika katiba mpya waangaliwe maanake wakati huu wana shida sana na hizi<br />
pombe za kienyeji, wana shida kwa kunya pombe za kienyeji na kushikashikwa kila siku, katiba iwaangalie kama ni pombe hizi<br />
za bei rahisi zitengenezwe kiasi ya ili nao waweze kufurahia kunywa kama vile matajiri wanafurahia kunywa chupa moja Hilton<br />
ikiwa inatoka shillingi mia tatu.<br />
Na mwisho commissioners wangu, nimefurahi na ninashukuru ya kwamba, katiba mpya itaweza kusimamia wanakenya ili<br />
waweze kuishi kwa maisha bora. Asante.