ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
136<br />
anatumia sheria kuserve wananchi, law executors, yeyote atapatikana aweze akatumia sheria mpaka zitakuwa zimeandikwa na<br />
wananchi wa Kenya awe punished severely. Kama ni corruption openly the public, kama ni kula mali ya wananchi na<br />
kadhalika, huyo mtu aadhibiwe vilivyo. Ndio unaona, ya pili inaenda chebaba na mahitaji ya mwananchi, mwananchi anataka<br />
kuwa na uhuru wakujitetea akiona sheria yake, aliyepewa na Mungu imekataliwa, haipeanwi anavyotakikana, mwananchi wa<br />
Kenya inambidi kwa sababu yeye ndiye supreme law maker atoke akitaka kulia alie akitaka kuimba aimbe, atoke barabarani,<br />
atoke kanisani mahari popote, na aachiliwe aeleze kwa nini anateta, bora tu atete peacefully. Peaceful demonstration is a good<br />
tool of achieving human rights. Na nitatitisha kwamba, groups, Kenya ina groups, wana groups nyingi kabisa ambapo hata pia<br />
wanaelewa sheria, hawa watu wakiona sheria yao imekanyangwa, wako na right ya disobedience. Wananchi waachiliwe<br />
wafanye disobedience especially the civils and the teachers should be allowed to extend the disobedient to awaken the ignorant<br />
chief, the ignorant DO, the ignorant government so that they can fear to calm the problem of dictatorship here and there. Na<br />
kwa hayo machache, naona viongozi wa serikali, wote washikilie sheria, yule atashidwa, aadhibiwe, sio kesho, papo hapo. Na<br />
hii maneno mtu si guilty, hati mtu hana makosa mpaka koti ikaseme ana makosa, ata hiyo ni mbaya ni chombo cha ukoloni.<br />
Ningetititisha hata kwamba, kuwe na viwango vya mtu kuambiwa hana makosa na ana makosa. Makosa mengine ni makosa<br />
kama ukiuua mtu ni makosa, mtu akienda koti asirudi hapa nyumbani kuambiwa hakufanya nini Makosa. Alifanya makosa ya<br />
kuua, alifanya makosa ya kuimba mali ya watu, hiyo ndio nataka kuwaamba wanacommissioners leo the punishment should be<br />
categolized and the punishment given to peak the crime committed. Thank you.<br />
Com. Ratanya: Asante sana Bwana headmaster, inaonekana sasa ni kama tumemaliza, na nitamuuliza commissioner<br />
mwenzangu sasa achukuwe sasa aendelee.<br />
Com. Abubakar: Asante sana commissioner Ratanya, mimi kwanza kabisa ningependa kutoa shukurani zetu kwa wananchi<br />
watukufu mliofika hapa, kwa wingi wenu na kutoa maoni yenu na kuhakikishia kwamba maoni haya yatatumika kama mzingi wa<br />
kujenga katiba mpya, na tumekuwa tukizunguka katika sehemu zingine za wakilizaji bungeni, na mikoa mingine hapa nchini,<br />
tushamaliza kusanya maoni mkoa wakati tumemaliza kusanya maoni mkoa wa pwani, sasa tuko, tume iko katika mkoa wa<br />
mashariki, tume nzima iko hapa wingine wako pande ile ya ukambani, ya huku Embu, na huku, tunakusanya maoni, ikifikia<br />
ijumaa ijayo, tutakuwa tumemaliza mkoa wenu halafu tuende, Nairobi tumefanya nusu, tumalize nusu hiyo tunafanya kazi namna<br />
hiyo. Ningependa kutoa shukulani kubwa na nyingi, kwa wale wanakamati ya tume kulekebisha katiba katika sehemu hiii kwa<br />
kufanya kazi kwa bidiii sana, na watu wengi wameanza kupata habari hizi, na leo wameweza kufika hapa na tukamuona. Kama<br />
nilivyo sema saa ile, hii sio mara yako ya mwisho, ikiwa bado una maoni yako, unataka kuiandika, ututumie mswada kabla ya<br />
kufika mwezi wa nane, kupitia katika office yetu ya msilikishi wetu au kututumia sisi moja kwa moja katika saduku letu la posta,<br />
au kutuletea kwa mkono ukiwa Nairobi, hayo yote yanakumbalika lakini ufanye hima isifike mwezi wa nane.<br />
Kitu kingine ambacho ningependa kusema ni kumshukuru saana mshirikishi wetu Bwana Kimathi kwa kufanya kazi kwa bidii<br />
sana natumeona amefanya kazi na watu hapa na ninataka aendelee na kazi ya namna hiyo ndio wananchi waweze kushiriki<br />
katika kubadirisha katiba yao.