05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

136<br />

anatumia sheria kuserve wananchi, law executors, yeyote atapatikana aweze akatumia sheria mpaka zitakuwa zimeandikwa na<br />

wananchi wa Kenya awe punished severely. Kama ni corruption openly the public, kama ni kula mali ya wananchi na<br />

kadhalika, huyo mtu aadhibiwe vilivyo. Ndio unaona, ya pili inaenda chebaba na mahitaji ya mwananchi, mwananchi anataka<br />

kuwa na uhuru wakujitetea akiona sheria yake, aliyepewa na Mungu imekataliwa, haipeanwi anavyotakikana, mwananchi wa<br />

Kenya inambidi kwa sababu yeye ndiye supreme law maker atoke akitaka kulia alie akitaka kuimba aimbe, atoke barabarani,<br />

atoke kanisani mahari popote, na aachiliwe aeleze kwa nini anateta, bora tu atete peacefully. Peaceful demonstration is a good<br />

tool of achieving human rights. Na nitatitisha kwamba, groups, Kenya ina groups, wana groups nyingi kabisa ambapo hata pia<br />

wanaelewa sheria, hawa watu wakiona sheria yao imekanyangwa, wako na right ya disobedience. Wananchi waachiliwe<br />

wafanye disobedience especially the civils and the teachers should be allowed to extend the disobedient to awaken the ignorant<br />

chief, the ignorant DO, the ignorant government so that they can fear to calm the problem of dictatorship here and there. Na<br />

kwa hayo machache, naona viongozi wa serikali, wote washikilie sheria, yule atashidwa, aadhibiwe, sio kesho, papo hapo. Na<br />

hii maneno mtu si guilty, hati mtu hana makosa mpaka koti ikaseme ana makosa, ata hiyo ni mbaya ni chombo cha ukoloni.<br />

Ningetititisha hata kwamba, kuwe na viwango vya mtu kuambiwa hana makosa na ana makosa. Makosa mengine ni makosa<br />

kama ukiuua mtu ni makosa, mtu akienda koti asirudi hapa nyumbani kuambiwa hakufanya nini Makosa. Alifanya makosa ya<br />

kuua, alifanya makosa ya kuimba mali ya watu, hiyo ndio nataka kuwaamba wanacommissioners leo the punishment should be<br />

categolized and the punishment given to peak the crime committed. Thank you.<br />

Com. Ratanya: Asante sana Bwana headmaster, inaonekana sasa ni kama tumemaliza, na nitamuuliza commissioner<br />

mwenzangu sasa achukuwe sasa aendelee.<br />

Com. Abubakar: Asante sana commissioner Ratanya, mimi kwanza kabisa ningependa kutoa shukurani zetu kwa wananchi<br />

watukufu mliofika hapa, kwa wingi wenu na kutoa maoni yenu na kuhakikishia kwamba maoni haya yatatumika kama mzingi wa<br />

kujenga katiba mpya, na tumekuwa tukizunguka katika sehemu zingine za wakilizaji bungeni, na mikoa mingine hapa nchini,<br />

tushamaliza kusanya maoni mkoa wakati tumemaliza kusanya maoni mkoa wa pwani, sasa tuko, tume iko katika mkoa wa<br />

mashariki, tume nzima iko hapa wingine wako pande ile ya ukambani, ya huku Embu, na huku, tunakusanya maoni, ikifikia<br />

ijumaa ijayo, tutakuwa tumemaliza mkoa wenu halafu tuende, Nairobi tumefanya nusu, tumalize nusu hiyo tunafanya kazi namna<br />

hiyo. Ningependa kutoa shukulani kubwa na nyingi, kwa wale wanakamati ya tume kulekebisha katiba katika sehemu hiii kwa<br />

kufanya kazi kwa bidiii sana, na watu wengi wameanza kupata habari hizi, na leo wameweza kufika hapa na tukamuona. Kama<br />

nilivyo sema saa ile, hii sio mara yako ya mwisho, ikiwa bado una maoni yako, unataka kuiandika, ututumie mswada kabla ya<br />

kufika mwezi wa nane, kupitia katika office yetu ya msilikishi wetu au kututumia sisi moja kwa moja katika saduku letu la posta,<br />

au kutuletea kwa mkono ukiwa Nairobi, hayo yote yanakumbalika lakini ufanye hima isifike mwezi wa nane.<br />

Kitu kingine ambacho ningependa kusema ni kumshukuru saana mshirikishi wetu Bwana Kimathi kwa kufanya kazi kwa bidii<br />

sana natumeona amefanya kazi na watu hapa na ninataka aendelee na kazi ya namna hiyo ndio wananchi waweze kushiriki<br />

katika kubadirisha katiba yao.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!