05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

131<br />

2. Ningetaka kusema ya kwamba, tuwe na regional system of government, sababu, kama wakati huu,<br />

wanacommissioner, kwa heshima, hata nyinyi mliona kule sisi tunaishi, natungetaka kutuma nyinyi, mkirudi Nairobi,<br />

muambie serikali pia kuna watu wake wengine wanaishi pande hii, sababu sijui kama serikali inajua. Natungetaka<br />

kuwa na serikali ambao iko karibu na watu, kama serikali iko Nairobi, saa ingine mambo yanaharibika hapa, na<br />

hawajui kama watu wanalia usiku na mchana juu ya security, barabara mbaya, ukimwi, na kadhalika, taabu hapa ni<br />

mingi lakini kirio chetu hakuna mtu anayesikia. Na tukiwa na regional government, tungetaka equitable distribution<br />

of resources. Na ni serikali ya regional ambayo ingeweka those resources at the disposal of the inhabitants of that<br />

area. Na ningetaka kusema ya kwamba, alongside with that, tungetaka mtu binafsi, kama wewe commissioner ama<br />

yule mama yuko hapa ama kijana ama nani awe na ile wanaita kisheria __________ ama power ya kuweka case,<br />

kushtaki serikali saa ile serikali imefanya maofu, for example sisi, mvua sasa inakuja sababu misitu imeisha, kwa<br />

kuuzwa na serikali, watu wote wanaenda, manyumba yetu yanaenda, maporomoko ndio hayo, lakini mimi<br />

nikichukua hatua, to sue the government, I’m told I have no locas stand, and my interest are at stake.<br />

3. Mr. Commissioner, I would like to say of course no taxation without services, no taxation whatsoever without<br />

services, na tungetaka serikali iwe accountable. Ile pesa wananchi wanatoa, wawe ni kwa duka ukienda kununua<br />

kitu kidogo, kodi iko juu yake, ukiandikwa, lazima uwe na kitu inaitwa Pay As You Earn, wengine wanasema ni<br />

pay as you eat lakini hata hakuna kitu unakula hapo. Natungetaka serikali iwe accountable hata tumesikia pesa ya<br />

harambee itakuwa audited, pesa ya mashule itakuwa audited, hata serikali iwe audited na sisi ndio wale tunalipa<br />

kodi tuwe tunasomewa balance sheet kila mwaka, kuambiwa kwa mwaka huu watu wa Tigania wametoa pesa gapi<br />

kwa serikali, na serikali imefanya kazi gani na hiyo pesa yetu. Na kama imeenda kwenu Bwana commissioner, sijui<br />

unatoka wapi, pesa yetu tuwe mwananchi anaweza amuka aseme pesa yetu irudishwe hapa sababu sisi ndio tulitoa,<br />

na tunakufa jaa.<br />

4. Fourth point Mr. Commissioner, tunasema, give power to the people. Sisi wanacommissioner, hatuoni sababu gani<br />

mtu anatoka Nairobi ati anakuja kusema sasa location na location hii mpaka yake ni hapa na pale, na hajui, hajui<br />

kabisa, give power to the people so that local issues are managed by the local people, for example, boundaries of<br />

land iwe ni ya province, iwe ni ya district, iwe ni ya location ama kata, iwe ni ya kijiji, let local people be able to sort<br />

out their problems. Let there be structures that can facilitate local people to act to solve local conflict in that order<br />

and also give local people the power to safe our forests. Let forest management be with the people, msitu wetu ule<br />

uko hapa, watu wa Nairobi, saa ile kuna mapolomoko, they are not affected. Na mi nasema hivi …… end of side<br />

A. tape 5<br />

Kusikia hiyo maneno ikichukuliwa sababu hiyo ni uhai wetu.<br />

5. Mr. Commissioner tungetaka re-definition, tungetaka kazi ya wajumbe wabunge ifafanuliwe vizuri, na kazi ya<br />

wajumbe wa bunge, ni katika constituency, ile kazi kubwa, kazi ile dogo, ni kule kwa parliament, na kama Kaparo,<br />

ama speaker mwingine, ako na register kuona mjumbe wa bunge ameingia bunge na anaweka tick kama mwalimu<br />

na wanafunzi, ili walipwe mshahara na yule hakuji bunge, ananyimwa mshahara sababu ile kazi mingi ni kwa<br />

constituency, tungetaka pia register ama namna itafutwe, register bill katika constituency. Na namna ya kumark ya

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!