ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
131<br />
2. Ningetaka kusema ya kwamba, tuwe na regional system of government, sababu, kama wakati huu,<br />
wanacommissioner, kwa heshima, hata nyinyi mliona kule sisi tunaishi, natungetaka kutuma nyinyi, mkirudi Nairobi,<br />
muambie serikali pia kuna watu wake wengine wanaishi pande hii, sababu sijui kama serikali inajua. Natungetaka<br />
kuwa na serikali ambao iko karibu na watu, kama serikali iko Nairobi, saa ingine mambo yanaharibika hapa, na<br />
hawajui kama watu wanalia usiku na mchana juu ya security, barabara mbaya, ukimwi, na kadhalika, taabu hapa ni<br />
mingi lakini kirio chetu hakuna mtu anayesikia. Na tukiwa na regional government, tungetaka equitable distribution<br />
of resources. Na ni serikali ya regional ambayo ingeweka those resources at the disposal of the inhabitants of that<br />
area. Na ningetaka kusema ya kwamba, alongside with that, tungetaka mtu binafsi, kama wewe commissioner ama<br />
yule mama yuko hapa ama kijana ama nani awe na ile wanaita kisheria __________ ama power ya kuweka case,<br />
kushtaki serikali saa ile serikali imefanya maofu, for example sisi, mvua sasa inakuja sababu misitu imeisha, kwa<br />
kuuzwa na serikali, watu wote wanaenda, manyumba yetu yanaenda, maporomoko ndio hayo, lakini mimi<br />
nikichukua hatua, to sue the government, I’m told I have no locas stand, and my interest are at stake.<br />
3. Mr. Commissioner, I would like to say of course no taxation without services, no taxation whatsoever without<br />
services, na tungetaka serikali iwe accountable. Ile pesa wananchi wanatoa, wawe ni kwa duka ukienda kununua<br />
kitu kidogo, kodi iko juu yake, ukiandikwa, lazima uwe na kitu inaitwa Pay As You Earn, wengine wanasema ni<br />
pay as you eat lakini hata hakuna kitu unakula hapo. Natungetaka serikali iwe accountable hata tumesikia pesa ya<br />
harambee itakuwa audited, pesa ya mashule itakuwa audited, hata serikali iwe audited na sisi ndio wale tunalipa<br />
kodi tuwe tunasomewa balance sheet kila mwaka, kuambiwa kwa mwaka huu watu wa Tigania wametoa pesa gapi<br />
kwa serikali, na serikali imefanya kazi gani na hiyo pesa yetu. Na kama imeenda kwenu Bwana commissioner, sijui<br />
unatoka wapi, pesa yetu tuwe mwananchi anaweza amuka aseme pesa yetu irudishwe hapa sababu sisi ndio tulitoa,<br />
na tunakufa jaa.<br />
4. Fourth point Mr. Commissioner, tunasema, give power to the people. Sisi wanacommissioner, hatuoni sababu gani<br />
mtu anatoka Nairobi ati anakuja kusema sasa location na location hii mpaka yake ni hapa na pale, na hajui, hajui<br />
kabisa, give power to the people so that local issues are managed by the local people, for example, boundaries of<br />
land iwe ni ya province, iwe ni ya district, iwe ni ya location ama kata, iwe ni ya kijiji, let local people be able to sort<br />
out their problems. Let there be structures that can facilitate local people to act to solve local conflict in that order<br />
and also give local people the power to safe our forests. Let forest management be with the people, msitu wetu ule<br />
uko hapa, watu wa Nairobi, saa ile kuna mapolomoko, they are not affected. Na mi nasema hivi …… end of side<br />
A. tape 5<br />
Kusikia hiyo maneno ikichukuliwa sababu hiyo ni uhai wetu.<br />
5. Mr. Commissioner tungetaka re-definition, tungetaka kazi ya wajumbe wabunge ifafanuliwe vizuri, na kazi ya<br />
wajumbe wa bunge, ni katika constituency, ile kazi kubwa, kazi ile dogo, ni kule kwa parliament, na kama Kaparo,<br />
ama speaker mwingine, ako na register kuona mjumbe wa bunge ameingia bunge na anaweka tick kama mwalimu<br />
na wanafunzi, ili walipwe mshahara na yule hakuji bunge, ananyimwa mshahara sababu ile kazi mingi ni kwa<br />
constituency, tungetaka pia register ama namna itafutwe, register bill katika constituency. Na namna ya kumark ya