05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

134<br />

yako, na ulianza kukatwa wakati tu uliajiriwa kazi. Sasa mpaka ufe tena ndio uje upewe hiyo pesa si unaona si vizuri Pengine<br />

hata watoto wanaweza kufikiria kukuua ndio waje wachukuwe hio pesa yako. Afadhali upewe hizo pesa, ndio uangalie welfare<br />

ya watoto wako ukiwa hai.<br />

Com. Ratanya: Sasa unataka review ya hiyo part ya Act hiyo ya pension<br />

Morris Gichaga: Ndio. Ya pili, sijaandika hiyo, hiyo nimeandika ni hiyo nimetaja, ya pili, ni katika vile tunaishi huku kwetu<br />

mashambani huku.<br />

Security – tunaambiwa mara kwa mara, hati wale watu wako na buduki zao, ambazo hawakuchukua kwa hari ya kawaida<br />

warudishe kwa serikali, ukirudisha, zingine unasikia zimetokea upande huyu mwingine, unakuja unapigwa unanyang’anywa mali<br />

yako, kama ni ng’ombe zinaenda, wanakuja wanachoma hata nyumba zako, sababu unaogopa kupigana na hao sababu wako<br />

na buduki. Sasa serikali haitilii maanane sana wakati unarudisha buduki, wahakikishe kila mtu amerudisha ndio watulinde, lakini<br />

wanarudisha upande mmoja na mwingine unambaki sasa kupigwa. Sasa, kama wanaona wanashidwa kututisha hizo buduki<br />

zote, waturuhusu kila nyumba ama tuseme kila village ipewe walinzi kwa sababu hata ukienda kwa chief ama kwa wapi,<br />

unaambiwa buduki hakuna hapa. Ata chief anajificha kwa msitu wakati wewe unaenda kujificha. Sasa kama ingewezekana, kila<br />

village, ipewe, wazee kama wawili watatu hivi wawe na buduki ya halali kutoka kwa serikali, walinde mali yao kwa sababu hata<br />

ukitegemea serikali sasa mali yako inaisha na hakuna mtu anakusaidia. Ni hayo tu nilikuwa nayo Bwana Commissioner. Asante<br />

sana.<br />

Com. Ratanya: Asante sana Morris kwa hayo machache yako, twende kwa Genevasi.<br />

Genevasi Kubai: Nasema asante, mimi naitwa Genevasi Kubai, maoni yangu ni juu ya ukulima. Tunataka serikali, iangalie<br />

wakulima kwa sababu saa ingine tunalima kahawa, tukipeleka huko factory, wakati pesa inakuja tunaambiwa hakuna pesa,<br />

kahawa yenu iliharibika. Saa ingine tukaambiwa mlilipwa pay out. Sasa wakulima sisi tunaumizwa, hatujui tutafanya kazi ingine<br />

wapi kwa sababu ukulima, serikali haituangalii kwenye ukulima, tunataka serikali ituangalie tukiwa wakulima. Ndio mimi<br />

nasema.<br />

Com. Ratanya: Okey asante sana, tumeshukuru, twende kwa Christine Muthau,<br />

Christine Muthau: Jina langu ni naitwa Christine Muthau, (then speaks in vernacular)<br />

Com. Ratanya: Uga riatwa riaku kiri microphone muthee wakwa .<br />

Utaje jina kwenya microphone mzee wangu,<br />

Peter N’toitharia: Naitwa Peter N’toitharia, jambo la kwanza nataka kuongea mambo ya Rais, mimi ningependelea, Rais

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!