ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
90<br />
Paul M’tuambutu: ya tano, mi naendelea mahari pengine, naondoka hiyo,<br />
Com. Abubakar: aaaa, tulijadiriana vizuri mzee wangu, mda wako umekwisha, kuna watu wengi sana wakuzungumza.<br />
Paul M’tuambutu: Iko moja tu Bwana commissioner,<br />
Com. Abubakar: goja goja sikiza mzee wangu, mi nakuhesimu sana unisikize na mimi. Hiyo ndio hio ya mwisho. Hiyo ya tano<br />
tumalizie hapa. Ni sawa.<br />
Paul M’tuambutu: Okey<br />
Com. Abubakar: Haya asante mzee wangu.<br />
Paul M’tuambutu: Haya, ya tano ile nina sema, sisi tuna taabu sana nyumbani, ninaomba serikali ya wilaya, chief, sub-chief,<br />
DO, DC sababu hawa ndio wanakaa kijijini na wanajua mambo vile inaendelea, wapewe jukumu ya kushika mkosaji, akawa<br />
na pass ya kumpeleka kotini bila kwenda kupiga report kwa police. Kwa hayo machache tu Bwana commissioner.<br />
Com. Abubakar: Asante sana Mzee wangu asante sana, tafadhali uje hapa mzee uandikishe kwenye register kwamba<br />
umetoa maoni. Asante sana. Musa Kirigia, karibu mzee, na tunapeana mda kama yule alipokuwa akisema mzee, ukiona<br />
ana….. Asante mzee chukua microphone utaje jina lako halafu uanze.<br />
Musa Kiria: Naitwa Musa Kiria. Sisi wazee wa Njurincheke, mashamba ni sisi tulikuwa tunafanyia na sababu ni hii. Tulikuwa<br />
tunapeana zenge<br />
Com. Abubakar: Subiri kidogo mzee, naomba watu waliopo hapo nje, waache kupiga kelele tafadhali, na ikiwa wanataka<br />
kuzungumza kwa sauti kubwa, waende mbali na hapa ndio kazi kama inavyo takikana. Na hili litakuwa ombi la mwisho<br />
tafadhali.<br />
Endelea mzee wangu.<br />
Musa Kiria: Ariuga Njuri cheke nio igwaterete manto ja miunda jonthe.<br />
Translator: Anasema njurincheke ndio inashikilia mashughuli ya shamba yote.<br />
Musa Kiria: Njuri cheke inainya ya kuthiria magamba ja miunda<br />
Translator: Njurincheke ina jukumu ya kutekeleza haki kuhusu macase ya mashamba.<br />
Com. Abubakar: Goja mzee, bona huna furaha kijana, huna furaha kwa nini. Ebu niambie amesema nini<br />
Speaker: Amesema wakati wao wanaamua case, kutoka kwa nani na wa (tape unclear)<br />
Com. Abubakar: Kwa hivyo mzee anasema, kwa mira ya wameru, Njurincheke inapokata case za mashamba, huwa wanatoa<br />
kiwapo Na hicho kiapo, kinafanya kazi kuliko kufanya mahakamani, mnasema hivyo