ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
108<br />
Godfrey Borong’a: Okey.<br />
18. The constitution should provide for a solution of societies, kwa mfano sasa mimi ni Chairman wa Huyu Muungano<br />
Self Help Group. When we registered, we registered with the social services but if we are to part because of<br />
differences, property we will have acquired will be left to those who will be in the office. Therefore, the government<br />
should provide a better way of resolving the societies.<br />
Com. Abubakar: Thank you, thank you very much, tafadhali andika jina kwenya register. Jason Mimanja,<br />
Jason Kamanja: Asante Bwana Commissioner, yangu ni machache tu ni naye. Moja kitu kile, mi naitwa Jason Kamanja, kile<br />
tunataka, kuna sisi watu wakulima wa kahawa, kuna taabu nyingi sana. Kwa sababu iko pesa ilipeanwa na ma-cooperative, ina<br />
miaka mingi, kwa hivyo ikiwezekana, serikali itoe hio pesa, kama vile ilitoa pesa ile ya AFC. Kwa sababu ikitupa pesa<br />
wakulima sasa watarundi kwa kahawa na wakulima watapata pesa kwa njia sawasawa. Kwa hivyo, hiyo ikiwezekana, kwa<br />
sababu katika mikoa miwili, wakulima wa kahawa tuna taabu kama hiyo. Hapo serikali iangalie.<br />
Ingine, kitu ya mhimu sana, mambo ya makanisa, kanisa pahali yote iangaliwe na wawe na uhuru wa kuambudu, kwa hii katiba<br />
yetu, makanisa iwe na uhuru wa kuambudu.<br />
Ingine, ni mambo ya land. Kulingana na vile viongozi wengine wanasema, mambo ya land, imeaanza hapa 1966, haijamalizika.<br />
Kwa hivyo tunataka serikali ikiwezekana, iangalie ni mambo gani inaweza kusaidia mambo ya land ikamalizika watu wakapata<br />
title deed. Kwa hivyo hatujui tunaelekea wapi kwa mambo ya mashamba kwa sababu hata mtu akiwa na title deed, hiyo<br />
shamba si yake. Hapo tunasema serikali ituangalie.<br />
Ingine ni mambo kama ya Njurincheke, vile wazee wanasema, kama Njurincheke iwe na power kwa sababu hata mbeleni<br />
ilikuwa na power, iwe na power ya kuangalia mambo ya hii loan kwa sababu mtu angepiga senge, hata kama kichaka alipatiwa<br />
kichaka, watu wa land watoe hio shamba, ipatiwe mwenyewe, yule alipiga senge ya ________. Kwa hivyo hapo nao<br />
tunasema wazee wa Njurincheke wawe na nguvu ya kuangalia mambo ya mashamba.<br />
Ingine ni mambo ya misitu Bwana commissioner, misitu iangaliwe na serikali kwa sababu sasa masingira yetu imeharibika. Na<br />
tunasema serikali saa zingine iangaliwe, kwa misitu yetu isimalizike. Kwa hiyo machache tunasema, mimi nasema Asante kwa<br />
nyinyi, kwa hiyo maoni yangu kidogo iangaliwe.<br />
Com. Abubakar: Asante sana mzee, tafadhali andika jina pale. Na Garvason Mathew. Garvason Mathew, naona hapa<br />
kwamba wewe una written memorandum, sasa watu wa written memorandum, usitusomee kila kitu kiko pale, unachagua ile<br />
mhimu tu unaguzia, tutasoma wenyewe, Niko karibu kuaanza kupungua muda, na hatutaki hivyo, twendelee na hiyo dakika tano<br />
lakini tukizitumia vizuri wote tutapata nafasi. Tusianze kutelemshia watu wakati, maana ke hawajazungumza. Asante.<br />
Garvason Mathew: Sawa Bwana Commissioner, yangu nitaenda biu biu mpaka tuone kila mtu amefika hapa. Mimi ni