ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
132<br />
kwamba huyo mtu, mjumbe amefanya kazi na wananchi wamesema ndio siku hii na hii amefanya kazi, iwe hapo.<br />
Na kama mtu haedi kwa constituency yake, iwe pia ni kama vile haedi kwa parliament hakuna mshahara hapo ama<br />
atolewe mwingine awe hapo.<br />
6. Jambo la sita, ningetaka kusema Bwana commissioner, basic needs are basic rights of people. Natungetaka sifa<br />
yetu itabue basic needs kama chakula, nguo, land, afya, na shule ikiwa ni basic right na kama hakuna hiyo serikali<br />
tunaweza kupeleka koti kama hakuna. Na tungetaka constituency kuwe na section ya bill of rights where basic<br />
needs inakuwa ni basic rights, na kila mtoto katika Kenya hii awe na haki na serikali impeleke shule, na ilipe kama<br />
mama yake ama baba yake hawezi kulipa au la, mpaka kiwango fulani, ili kila mtu awe anaweza kujisaidia.<br />
7. Jambo la saba ni mambo ya land. Ardhi, mambo ya land katika Kenya, tunajua kuna ile ardhi ambaye iliimbiwa na<br />
mkoloni na hiyo ardhi mkoloni alichoma manyumba ya watu, akachukua ardhi, hiyo ardhi tungetaka katika katiba<br />
ijulikane ya kwamba iliimbiwa na mambo ya kusema sisi tununue ile ardhi hatutaki. Mimi nikija kwako, nikifuja<br />
nyumba yako, nije hiyo kanzo yako, Bwana commissioner, halafu kesho yake, nikwambie sasa we kuja nunua hii<br />
nikurudishie, hiyo ni halamu. Asante<br />
Com. Abubakar: Sasa mzee wangu, karibu kukukatiza, nimekupa muda mreefu kwa sababu wewe ndiye mtu wa mwisho<br />
katika orodha yangu, so what you need to do, is to give us your specific recommendations, we understand what you are saying,<br />
you are saying that land that was appropriated by the colonial forces should be returned to the people without payment. That’s<br />
what you are saying<br />
Kirianki M’imanyara: Thank you sir, thank you sir I get your point and I do appreciate that.<br />
8. Katika county concil, tungetaka mayors and chairmen of county councils to be elected directly by the people.<br />
Thank you very much.<br />
9. Na pia corruption, tungetaka corruption cases, to be prosecuted all the way from 1963 upto today. Nakuimba<br />
serikali, is a crime, kuimba your neighbour is a crime, kuimba katika kanisa ama msikiti is a crime, na tungetaka all<br />
corruption cases prosecuted from top to bottom. Serikali pia mwisho Bwana commissioner, serikali tungetaka, we<br />
would like to have a lean government, serikali dogo, watu kidogo, na watu wa serikali walipwe vizuri, police<br />
walipwe vizuri, kila mtu alipwe vizuri, kuwe na watu wale wameandikwa sio wengi lakini serikali iwe inapeana<br />
maloan so that watu wakimaliza shule they can be able to do other work na let civil servants be paid properly so<br />
that we are not talking about corruption. Thank you so much for giving me this opportunity. Thank you.<br />
Com. Abubakar: Asante sana, kuna swali.<br />
Com. Ratanya: Bwana T’imanyara, hapa umesema kwamba, we give powers to the people, which we really agree, and you<br />
are saying, we refer the local issues to the local people, such as to be established. Can you give an example in these structures<br />
or you want to leave for the commissioners to decide