ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
46<br />
serikali imeweka local courts. Serikali hata ukienda huko kotini wakimata watu hawapeleki kltoni, wanawaka court yao hapo,<br />
wanalikap vile wanataka na hawaachilie hata watu. Kwa kuwa hivi sasema, incident hata akimuua mtu, hawezi pelekwa kotini<br />
kwa kuwa ni above law. Hiyo nataka aondolewe hio madaraka.<br />
Serikali wameshindwa kutuza mzitu, wanakopesana hata ile msitu watu wanalipa pesa wanaenda kukata miti huko na kugawa<br />
hata mashamba huko katika forest. Sasa, wamerudi nyumbani, hii ni artificial forest yako ndio wanatunza, ukienda na machine<br />
kukata mti wako ama kuni, wana kuitisha rushwa, na ile rushwa yao haina receipt, haitasaidia hata serikali kotini ata na nini.<br />
Kuajiriwa, watoto kuwajiriwa wewe, hata ukiwa na C na B huwezi kuwajiriwa bila pesa.<br />
Comm. Usirudie sana, bwana Philip jaribu kusema yale ya mhimu.<br />
N’toruru: Sasa yangu ni hivyo,<br />
Comm: umemaliza kabisa<br />
N’toruru: Ee Nimemaliza.<br />
Comm: Okey, hata umetumia muda mfupi, kama una mengi ya dakika moja ungemaliza, lakini kama umemaliza nasema asante<br />
sana. Mwingine ni Tarasira Chichiru.<br />
Tarasira Chichiru: Riatwa riawe ni Tarasia Chichiru<br />
Tlanslator: Jina yake ni Tarasia Chichiru<br />
Tarasira Chichiru: Ariuga ni bwega niuntu bwa kwija kwenu naja.<br />
Tlanslator: Anapeana shukulani sana kwa kwenyu kuja.<br />
Tarasira Chichiru: Niuntu bwa kwija kwenue naja.<br />
Tlanslator: Kwa sababu yenu kuwa hapa.<br />
Tarasira Chichiru: Ariuga ari wa mau mau<br />
Tlanslator: Yeye anasema alikuwa kwa mau mau.<br />
Tarasira Chichiru: kuuma tukuewa guchiatha we atwire ari munene wa KANU rutere twa ekuru<br />
Tlanslator: Tangu wapewe uhuru yeye amekuwa chairman wa KANU pande ya wanawake.