ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
94<br />
Elijah Maitai: Na rutere rwa urimi bwa majani na ru no u.<br />
Translator: na upande wa ukulimaji ya majani chai pia ni hivo hivo.<br />
Elijah Maitai: Na ngugi ya kwendia into biu ni thirikari yendagia, na mbesha ituteretagira kana baria barijaga.<br />
Translator: Na hiyo kazi yote ya kuuza vitu hiyo serikali inatekeleza, halafu pesa ikuliwa tunaambiwa imekuliwa, bona serikali<br />
isituletee hawa watu wanakula.<br />
Elijah Maitai: Buu ni untu bomwe buria buthokitie uchumi bwa Kenya.<br />
Translator: Hiyo ndio kitu moja ile imeharibu uchumi wa Kenya.<br />
Elijah Maitai: Murimi niwe masikini kabisa. Rutere rwa kuria atiomba. Kurita ngugi atiomba niuntu utonga bwawe ni<br />
bwii nau iguru.<br />
Translator: Hiyo ndio imefanya mkulima awe masikini kabisa. Upande wa kula hawezi, kufanya kazi hawezi juu ile mapato<br />
yake bado imeimbiwa huko juu.<br />
Elijah Maitai: Na inya ya thirikari ni antu.<br />
Translator: Na nguvu ya serikali ni raiya.<br />
Elijah Maitai: Na antu barega kurita ngugi, thirikari itithrwa irinambesha.<br />
Translator: Naikikataa kufanya kazi wale raiya, serikali pia haitakuwa na pesa.<br />
Elijah Maitai: Na utethio buria tukwona burithiria Nairobi kana tutaoni turia tunene.<br />
Translator: Na ile msaada tunapewa, serikali inaishia huko Nairobi ama mijini mingi mikubwa mikubwa.<br />
Elijah Maitai: ikio gitumi mbesha itikinyaga naja nja.<br />
Translator: Ndio jia zinakuwa bado pesa haifikii sii huko nyumbani.<br />
Elijah Maitai: Utethio, bwakaga nyomba indaja iria twonaga Nairobi. Butikinyagira murimi buru.<br />
Translator: Hiyo misaada, inajenga ile manyumba marefu tunaona huko Nairobi, haifikii mkulima huku kijijini kabisa.<br />
Elijah Maitai: Kwou, tukarie Katiba injeru, tutegere mbesha ikinyere murimi.<br />
Translator: Kwa hivyo, tukitunza hiyo katiba mpya, tuangalie hiyo pesa je inafuatilia kutoka kwa msaada ama kufikia<br />
mkulima huku reserve.<br />
Elijah Maitai: kwou, thirikari ituthithagiria ngugi nini muno.