ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
110<br />
ebu mjumbe awe ni mmoja wao wa member wanapeleka maoni yao kwa sababu hao ndio wanaotuliza constituencies. Na<br />
katika ile budget ya serikali, wakati imetengenezwa, itengenezwe kwa kupitia constituency sio ya district levels. Iwe ni ya<br />
constituencies.<br />
Pia kuwe na kamati katika some branches kwa sababu ya kuangalia behaviours za watu. Kuangalia misitu, kuangalia mambo<br />
ya doa, kuangalia mambo ya masingira, kuangalia mambo ya mito, hiyo kamati itoke kutoka sublocation hadi constituency<br />
levels. Na hiyo ipewe hukumu ya kuangalia mambo, hapa behaviour za watu, kabla mtu hajachaguliwa tabia zake ziwe<br />
zimejurikana, kwa sababu kenya hii tunaweza kuchagua mwizi mkubwa sana na hatujui ni nani tumechagua. Awe na clearance<br />
from the grassroot. Na pia kwa hiyo kamati ichaguliwe, ikiwa inaangaliwa vizuri, awe ni mtu mwenye record mzuri na pia kuwe<br />
kuna watu kama kwa…. Either tuseme watu wa piapo wale wanachunga viapo, ma-pastors, Njurincheke elders wawe ni<br />
katika ile kamati.<br />
Marriage –<br />
Com. Abubakar: Ya mwisho, chagua la mwisho kati ya hayo uliyo nayo, chagua lile la mhiumu kabisa la mwisho ndio<br />
uzungumzie.<br />
Garvason Mathew: ebu ni ende hilo la marriage.<br />
Marriage – nimepropose kuwe na contract kwa sababu watu wanaoa, mtu anaenda anaoa bibi, anapoenda bibi anapata watoto<br />
tano, anamuacha, anapata watoto kumi, anamuacha, kwa hivyo tuna propose kuwe na contract. Wakati wanaoana hao wawili<br />
wa-sign contract, waseme tutapata watoto tatu, no morebut three, wote wasikizane watafanya hivyo. Na pia wakiona ni vizuri<br />
wawe kwa muda, wafanye muda, ikifika miaka ingine walinew contract yao, ili kusiwe na chokola wengi katika Kenya.<br />
Com. Abubakar: Hayo hiyo ni maoni yako, Asante sana, tafadhali needa peleka pale memorandum itachukuliwa, tutaisoma,<br />
tutaisoma kabisa. Asante sana. Maru Wachuka, Maru Wachuka, Chrispine Kaume, Bwana Chrispine, karibu, ulikuwa hutaki<br />
kusema mapema Kwa sababu nilisema kuna mtu mremafu, mgojwa, mzee, akae asikize, Karibu sana. Bwana Chrispine,<br />
ulikuwa umetoa maoni yako kwa maandishi tayari<br />
Chrispine Kaume: Nilikuwa natoa maoni yangu kwa maandishi.<br />
Com. Abubakar: Sasa tupe tu yale mhimu yaliokuwako dani ya hayo maandishi<br />
Chrispine Kaume: Na niongezee ingine tatu<br />
Com. Abubakar: Ongezea tu, ongezea.<br />
Chrispine Kaume: Asante Bwana commissioner, jina yangu mimi naitwa Chrispine Kaume, mimi naongea kwa niamba ya<br />
maoni yangu na ya kundi ambaye ninasimamia, hii ya watu wasiojiweza. Kwa maana hii ni sheria sisi tunaweka, na twapenda hii<br />
kwa watu wasiojiweza, tujengewe ma-school, katika Kenya na mahospitali pia, na yawe yako na kila kitu.