ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
135<br />
yule atachaguliwa, awe na elimu ya kutosha, awe na degree, ya chuo kikuu, na ya pili, apunguziwe, yale mamlaka yake, asiwe<br />
juu ya sheria kwa kila kitu. Jambo la pili, ni juu ya wale watoto ambao wasio na baba, nataka kupendekeza hivi, kuna vijana,<br />
wale wanadunga wasichana mimba, halafu wanakataa msichana, mimi naonelea, ingefaa, akikataa kumuoa msichana, amlee<br />
mtoto mpaka mtoto akuwe, awe mtu mzima.<br />
Jambo lingine, ningetaka, ni juu ya makesi ya mashamba, ningependelea, yawe yakisikilizwa na wazee, sio koti, kwa sababu<br />
wazee ndio wanajua hiyo mipaka ya mashamba na wanajua ata wale wenye mashamba.<br />
Jambo la mwisho, ningependelea, elimu ya bure, kutoka nursery mpaka secondary.<br />
Yangu ni hayo, sina mengine. Asante.<br />
Com. Ratanya: Asante sana Bwana Peter N’toitharia, needa u-sign register. Veronicah Warukira, endelea Veronicah.<br />
Veronicah Warukira: My names are Veronicah Warukira. Here I would like to talk about just three or four points.<br />
1. The first one – I would like to ask if it is possible for the women groups to be helped in any cases for example, they<br />
take even loans, or machines, that is of tailoring machines whereby they can help themselves or they be brought<br />
water projects to enable them even in agricultural projects.<br />
2. About the case of divorce – this has become a song of everybody, divorce in Kenya is another point that is bringing<br />
more poverty in Kenya that is we have even street children whereby they don’t have anybody to help. It also bring<br />
much more ______ among many people or between both parents of husband or wife.<br />
3. Employment – Many people are educated but they seem not to be educated. Let them be given employment each<br />
person to be awarded according to her or his education level.<br />
4. Land cases – I would like land cases to be looked upon because people have become to get more struggles<br />
because of their lands, they buy lands and they are taken away by some other people who have more money.<br />
5. I would also like women to inherit their parents property because also women are human beings like any others.<br />
6. Corruption has come to everywhere even in mortuary, this has made many people get problems to go for their<br />
bodies. That’s all.<br />
Com. Ratanya: Veronicah asante sana, tutaendelea kwa yule amembaki, kuna mwingine anaitwa Gilvacio Gionka, Thank you<br />
headmaster, tufungie kwa ufupi.<br />
Gilvacio Gionka: Mimi naitwa Gilvacio Gionka, na mimi mwalimu mkuu hii shule Mikinduri Primary. Sina mengi sana Bwana<br />
Commissioner lakini ningetaka kusidikisha sana sana vile nimesikia watu wakisema mambo mengi mazuri.<br />
Ya kwanza nataka kusema, katiba iliyekuwako ilikuwa empty, ilikuwa na material na mambo yangesaidia wananchi, na hii<br />
katiba mpya tunatumia, tunaandika, pia itakuweko. Mimi nataka kusema hivi kupendekeza hivi yeyote ambaye atakuwa