ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
133<br />
Kirianki M’imanyara: I would like to do that far, and thank you very much, I would like to do that gladly, we would like<br />
semi-autonomous county or local government head autonomous and local government which are at various levels at locational<br />
level, divisional level, and district level. I would like to say I’m talking about the Uganda model where local council determines<br />
local issues. Thank you sir, I think that is what I have in mind.<br />
Com. Abubakar: Nilikuwa nimekupa fursa kubwa sababu nikifikiria ndio wa mwisho, lakini tumeletewa list ya watu wengine,<br />
dugu yangu karibu u-sign hapa register tafadhali, that you have given your views. Sasa mimi ningependa kuwaita hawa wote<br />
kwenya hii list hii ya mwisho, waje wawe karibu ndio watoe maoni yao tusije tukafikiria ni mtu wa mwisho, halafu tuongeze<br />
muda kube watu wengine wako. Michae Kobia, Michael Kobia, Morris G. Akwaro, Uko hapo Prisca Patuku, Garvasio<br />
Kubai, uko hapo Sawa, Christine Muthau, uko hapo Na michae Kobia Uko hapo Sasa tunaanza na Michael kobia halafu<br />
tuje kwa Morris, halafu tuje kwa Kubai halafu twende kwa Christine, Sasa ningetaka kumuachia mzee wangu ndio afunge kazi<br />
na nyinyi.<br />
Com. Ratanya: Okey tunaendelea sasa na Michael Kobia, na ningetaka kuwakubusha kwaba, kama kuna mambo<br />
yametajwa mengi mengi, utaje yale ya mhimu na kwa ufupi. Usirudie yale ya zamani, Okey Michael Kobia.<br />
Michael Kobia: Mimi nasema, tunafinywa na serikali, (Ni Michael Kobia) Mtu akikula kitu yake, tunafinywa na serikali, mtu<br />
ikiimba, ni mbaya, sasa tutasema namna gani Sina mengi ya kusema.<br />
Com. Ratanya: Sasa unapendekeza nini Bwana Kobia, unataka nini tuingize kwa katiba.<br />
Michael Kobia: Yaani kwa katiba, nasema mtu akikula yake asiulizwe, yaani usiimbe,<br />
Com. Ratanya: Okey sawasawa. Sasa twende kwa Morris G. Akwaro. Morris ninaona una written memorandum,<br />
Morris Gichaga: Iko na point moja tu lakini ningetaka kuongezea moja.<br />
Com. Ratanya: Okey lakini utatupatia hiyo karatasi Okey tuambie maneno mawili halafu utupatie karatasi. Endelea Morris.<br />
Morris Gichaga: Jina langu ni Morris Gichaga _______ . Mimi ni retired government officer, nilitoka na miaka ishirini kwa<br />
serikali. Ningetaka kuzungumzia kuhusu wafanyi kazi wa serikali sijui kama ni wote, wale wametoka kazini, wale wameretire<br />
prematurely ikiwa hawajafikisha umri wa miaka hamsini. Kuna pesa watu huwa watu wanakatwa wakiwa wangari kazini kama<br />
hii tunaita Widows and children pension scheme. Hiyo pesa, wakati wewe umetoka kama vile mimi nimetoka nikiwa na miaka<br />
46, haurudishiwi, unaambiwa mpaka ufe ndio sasa ipewe watoto wako. Ati huwezi ukapewa sababu ni pension imepangiwa<br />
widows and children, sasa wewe kwa bahati nzuri umetoka, hujapigwa risasi tuseme ukiwa kazini na huwezi kupewa hio pesa