05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

71<br />

Com. Ratanya: Ebu jaribu sasa kumaliza.<br />

Benjamin mwenda: Katika office ya President ni lazima kuwe na kitu ambaye yeye anaachiwa kwa maana mara ukimuacha<br />

mtu tupu, hakuna kazi itaendelea. Ni lazima upande wa utamaduni uachiwe kama President.<br />

Com. Ratanya: Ok. Asante sana. Benjamin Asante, tutaenda kwa John msafa, lakini kuna Geofrey, Karibu Geofrey Taribu<br />

Mwirare yuko<br />

Geofrey Taribu Mwirare: Yangu itakuwa oral, nitaanzia na gender quality. Sioni maana vile tunaambiwa kulingana na mira za<br />

kiafrica, wanaume watoshane na wanawake. Hio napinga kabisa katiba yetu isiwe namna hiyo, juu mfano, yule mwanamke<br />

anaolewa, halafu akuje kwenu, si we ndiye unaoa Na yule naye sa tukitoshana, wanawake watoa sisi ama ni sisi tutawaoa<br />

Isitoshe, mali upande wa mali kupewanwa, mwanamke akipewa shamba mfano, na akae kwao asiolewe, akiwa pale kwao,<br />

akipata bwana amuoe, si huyo bwana anaingia family ya wenyewe Hio sioni ikiwa mzuri. Wanawake wasipewe mali, ama<br />

wasipewe mashamba. (noises)<br />

Comm. Ratanya: Niliwaambia kila mtu ana maoni yake, apewe hio heshima ya kusema maoni yake, nawee ukifika hapa<br />

utasema yako.<br />

Geofrey Taribu Mwirare: Wanawake wasipewe mashamba ama mali,<br />

Utelekezaji wa kazi, tunaanzia mashinani, division level, upande wa administration pia, inatakikana ipunguzwe mamlaka yake.<br />

Ichaguliwe, kuanzia chief, achaguliwe na wananchi, kuwe na wakamiti watu wa kutawala, sio serikali ituandikie watu ambao<br />

watatutawala juu sasa kuna kuwa kuna chuki kati ya chief leader na mwananchi mmoja kijijini. Hio pia iangaliwe sana.<br />

Ya tatu, mali, utumikaji wa mali ya serikali, mfano ni selfish, mtu anapanda miti yake, saa ile unaenda kukata, na ulipanda peke<br />

yako, unapatwa na wengine wanakuja, mara kuna forest officer, ye hajui mali unatumia namna gani, na we ndiye ulipanda mti<br />

yako kwa shamba yako, Hiyo saa kutumia unaelekezwa vile utumie, sio vile unapenda. Sina mengine mengi, Mimi namalizia<br />

hapo.<br />

Com. Ratanya: kuna swali gojea kidogo.<br />

Com. Abubakar: Unasema wanawake wasiwe na haki ya kumiliki ardhi, wasimiliki hadi mahali watokako, wamiliki hadi za<br />

bwana zao. Na akinunua ardhi yake<br />

Taribu: Hiyo ni sawa.<br />

Com. Ratanya: Mirungi Atunas, ni wewe

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!