ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
92<br />
Translator: Mpaka saa hii ni kama imemalizwa.<br />
Musa Kiria: ikio gitumi Mbura iorete<br />
Translator: Ndio sababu mvua imekosa.<br />
Musa Kiria: Kwou njuri cheke iewe ngugi iuo ya gukaria into bia antu bonthe.<br />
Translator: Kwa hivyo Njurincheke ipewe hio jukum ya kuchunga hio mali ya uma resources.<br />
Musa Kiria: Nkothiria jau ja makai<br />
Translator: Amemalizia hapo hiyo machache.<br />
Com. Abubakar: Asante sana mzee, asante sana, tafadhali mzee uende pale uandikishe jina kwamba umetoa maoni. Maingi<br />
Totorochio<br />
Maingi Totorochio: Mimi jina langu ni Maingi Totorochio. Sina mengi ya kusema, moja ni hii, mimi nikisema koti iondoe<br />
mawakiri, kwa sababu kesi inaweza kumaliza miaka 10 au ishirini ikiwa ni case ya mtu, kila siku mtu anaenda kotini na hakuna<br />
kitu inafanyika.<br />
Ya pili, ningependa hii katiba mpya, iangalie mambo ya land, hiyo kazi ya land ipewe wazee wale wanaelewa mashamba ni nini.<br />
Ukifuata kwa wenye kamati unaweza kuta mtoto wa miaka 18 amechukuliwa at ni mzee wa kamati. Naakiuliza hiyo mpaka<br />
mahali iko hawezi jua. Kwa hivyo ningependa wazee wa Njurincheke, wawe wakichaguliwa kwenye kuangalia hiyo mashamba<br />
sio watoto. Sina mengi ni hayo.<br />
Com. Abubakar: Asante sana mzee, asante sana, tafadhali joo uandike jina hapa mzee. Naona Sammy ni obsever, Elijah<br />
Maitai. Tafadhali taja jina uendelee mzee.<br />
Elijah Maitai: Jina yangu ni Elijah Maitai. Asante sana Bwana commissioner, mimi naweza kuzungumza kwa lugha ya kimeru<br />
kwa Maana nitaje yaale mahitaji nataka kutaja.<br />
Elijah Maitai: Mbere<br />
Translator: Kwanza<br />
Elijah Maitai: Ndigua itokoewa utethio bwa kumenyera miitu na into binge biria murungu aejene.<br />
Translator: Maani yake ya kwanza nasikia tunapewa misaada ya kutunza masingira na misitu.