05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

67<br />

Bwana Mwenda: Lakini hii Kenya yetu bwana tunasikia kuna parties nyingi na zingine ni za kuuza. Mtu anatoa asante kwa<br />

kuuza.<br />

Com. Abubakar: Imagine Bwana Mwenda, hao ni maoni yako, hatupingi maoni yako, tume haipingi maoni yako. Inasema tu<br />

ukituambia tufanya vyama viwili tu chini, utupe na pendekezo la njia, kama unayo sawa, huna, tutafuta<br />

Bwana Mwenda: Mtafute mtafute vile itawezekana.<br />

Com. Ratanya: Asante sana Bwana Mwenda, anayefuata ni Stanley Ntoiwathu, yuko<br />

Stanley Ntoiwathu: Ariuga etagwa Stanley Ntoiwathu<br />

Translator: Anasema anaitwa Stanley Ntoiwathu<br />

Stanley Ntoiwathu: Ariuga enakugwirua niuntu bwa kukinya kwenu aja.<br />

Translator: Anasema, anafuraha sana kwa kufika kwenu hapa leo wakubwa wote.<br />

Stanley Ntoiwathu: Ariuga enakugwirwa taoria Jesu achirirwe Jerusalem.<br />

Translator:<br />

Anasema, leo ana furaha sana leo ni kama vile yesu alizaliwa Jerusalem<br />

Stanley Ntoiwathu: Kwou arina iuku kuma Alawi 19:32<br />

Translator: Kwa hivyo ana kisemo kimoja kutoka kitabu cha Alawi 19:32.<br />

Stanley Ntoiwathu: Itokosete mono niuntu Murungu ariuga tutigere Mkoro Uria na totikuthithia uu.<br />

Translator:<br />

Si tumekosa sana juu mungu amesema tuachie yule mzee na bado si afanye hivyo.<br />

Stanley Ntoiwathu: Nike tuthwere KANU<br />

Translator:<br />

Kwa nini tunachukia KANU<br />

Stanley Ntoiwathu: Ndambiririe na kiama gia KANU 1951.<br />

Translator: Yeye alianza kwa chama cha KANU 1951<br />

Stanley Ntoiwathu: KANU ni baba<br />

Translator:<br />

KANU ndiye baba<br />

Stanley Ntoiwathu: Niuntu tutikua KANU gitio itokuna wirane bwa Murungu.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!