ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
67<br />
Bwana Mwenda: Lakini hii Kenya yetu bwana tunasikia kuna parties nyingi na zingine ni za kuuza. Mtu anatoa asante kwa<br />
kuuza.<br />
Com. Abubakar: Imagine Bwana Mwenda, hao ni maoni yako, hatupingi maoni yako, tume haipingi maoni yako. Inasema tu<br />
ukituambia tufanya vyama viwili tu chini, utupe na pendekezo la njia, kama unayo sawa, huna, tutafuta<br />
Bwana Mwenda: Mtafute mtafute vile itawezekana.<br />
Com. Ratanya: Asante sana Bwana Mwenda, anayefuata ni Stanley Ntoiwathu, yuko<br />
Stanley Ntoiwathu: Ariuga etagwa Stanley Ntoiwathu<br />
Translator: Anasema anaitwa Stanley Ntoiwathu<br />
Stanley Ntoiwathu: Ariuga enakugwirua niuntu bwa kukinya kwenu aja.<br />
Translator: Anasema, anafuraha sana kwa kufika kwenu hapa leo wakubwa wote.<br />
Stanley Ntoiwathu: Ariuga enakugwirwa taoria Jesu achirirwe Jerusalem.<br />
Translator:<br />
Anasema, leo ana furaha sana leo ni kama vile yesu alizaliwa Jerusalem<br />
Stanley Ntoiwathu: Kwou arina iuku kuma Alawi 19:32<br />
Translator: Kwa hivyo ana kisemo kimoja kutoka kitabu cha Alawi 19:32.<br />
Stanley Ntoiwathu: Itokosete mono niuntu Murungu ariuga tutigere Mkoro Uria na totikuthithia uu.<br />
Translator:<br />
Si tumekosa sana juu mungu amesema tuachie yule mzee na bado si afanye hivyo.<br />
Stanley Ntoiwathu: Nike tuthwere KANU<br />
Translator:<br />
Kwa nini tunachukia KANU<br />
Stanley Ntoiwathu: Ndambiririe na kiama gia KANU 1951.<br />
Translator: Yeye alianza kwa chama cha KANU 1951<br />
Stanley Ntoiwathu: KANU ni baba<br />
Translator:<br />
KANU ndiye baba<br />
Stanley Ntoiwathu: Niuntu tutikua KANU gitio itokuna wirane bwa Murungu.