05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

125<br />

Tlanslator: Wote walikuwa wanaamua ma-case yao sawa sawa<br />

Peter Kamau: Na thirikari yetu ikare ta njuri cheke<br />

Tlanslator: Na serikali yetu inatakikana iwe kama Njurincheke hivyo bila ubaguzi.<br />

Peter Kamau: Na kumenye uma ita kuchioraga<br />

Tlanslator: Wakajua ukweli ulikuwa na nia ya kuua,<br />

Peter Kamau: Na kaworagagwa, withirwa uri na meia.<br />

Tlanslator: Pia ulikuwa unauawa, ukipatikana na hatia<br />

Peter Kamau: Yethirwa ni mbaati ibi.<br />

Tlanslator: Ikiwa ni bahati baya<br />

Peter Kamau: Wariaga na ng’ombe.<br />

Tlanslator: Kulikuwa na malipo ya ng’ombe<br />

Peter Kamau: Wathiria kuria ukaoragwa.<br />

Tlanslator: Ukimaliza malipo huku unauawa<br />

Peter Kamau: Na antu bao ibagwiraguwa mtu oragwa, akiriwa<br />

Tlanslator: Na watu wao wanafurahia mtu wao akilipwa, yule aliuawa<br />

Peter Kamau: Na thirikari yakwithira nja.<br />

Tlanslator: Na hata serikali nayo pia ukipatwa nyumbani<br />

Peter Kamau: oragwe<br />

Tlanslator: Uuawe<br />

Peter Kamau: baria boragene bagwatwa<br />

Tlanslator: Wale wameuana wakishikwa kwa huyo mtu,<br />

Peter Kamau: Kinya bo boragwe<br />

Tlanslator: Hata wao wauawe.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!