ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
125<br />
Tlanslator: Wote walikuwa wanaamua ma-case yao sawa sawa<br />
Peter Kamau: Na thirikari yetu ikare ta njuri cheke<br />
Tlanslator: Na serikali yetu inatakikana iwe kama Njurincheke hivyo bila ubaguzi.<br />
Peter Kamau: Na kumenye uma ita kuchioraga<br />
Tlanslator: Wakajua ukweli ulikuwa na nia ya kuua,<br />
Peter Kamau: Na kaworagagwa, withirwa uri na meia.<br />
Tlanslator: Pia ulikuwa unauawa, ukipatikana na hatia<br />
Peter Kamau: Yethirwa ni mbaati ibi.<br />
Tlanslator: Ikiwa ni bahati baya<br />
Peter Kamau: Wariaga na ng’ombe.<br />
Tlanslator: Kulikuwa na malipo ya ng’ombe<br />
Peter Kamau: Wathiria kuria ukaoragwa.<br />
Tlanslator: Ukimaliza malipo huku unauawa<br />
Peter Kamau: Na antu bao ibagwiraguwa mtu oragwa, akiriwa<br />
Tlanslator: Na watu wao wanafurahia mtu wao akilipwa, yule aliuawa<br />
Peter Kamau: Na thirikari yakwithira nja.<br />
Tlanslator: Na hata serikali nayo pia ukipatwa nyumbani<br />
Peter Kamau: oragwe<br />
Tlanslator: Uuawe<br />
Peter Kamau: baria boragene bagwatwa<br />
Tlanslator: Wale wameuana wakishikwa kwa huyo mtu,<br />
Peter Kamau: Kinya bo boragwe<br />
Tlanslator: Hata wao wauawe.