05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

109<br />

Garvason Mathew, organizing secretary DP Tigania East Constituency. Na kwanza imeandikwa kwa kingereza lakini<br />

nitafafanua kwa kiswahili, ili nipate point moja moja kwa haraka.<br />

Tumepropose kuwe na serikali iliye na President amechaguliwa na watu wengi Kenya. Na pia tumepropose kuwe na Prime<br />

Minister ambaye amechaguliwa na majority votes of parliament. Tumepropose kuwe na Vice President wawili, mmoja awe ni<br />

mwanamme na mwingine awe ni mwanamke.<br />

Presidential Powers: Tumepropose kama sasa, tuliye na President mwenye uwezo mkubwa sana katika serikali na kila mahali<br />

na tumeomba katika katiba mpya, hiyo President atakaye President, awe na powers kidogo akiwa anaenda sababa na<br />

wajumbe wengine katika bunge kama lile asiwe na uwezo wa ku-appoint ministers, asiwe na uwezo wa ku-appoint parmanent<br />

secretaries, asiwe na uwezo wa ku-appoint ministry directors, asiwe na uwezo wa ku-appoint ambassedeurs, asiwe na uwezo<br />

wa kufunja bunge, asiwe na uwezo wa kupeana security outside the country with the permission of the government, pia asiwe<br />

na uwezo wa kuchagua commission, electrol commission ambaye imesimamia uchaguzi, hiyo iwe kuwe na electrol commission<br />

imesimamia uchaguzi ikiajiriwa kama waajiriwa wengine wa serikali na sio retired people. Awe ni mtu anaajiriwa kiserikali<br />

kabisa. Kwa sababu mtu akiajiriwa atajua akiharibu ataharibu kazi yake. Has no power to appoint senior magistrate, has no<br />

power to say that army should go to the war before the parliament knowing and vote for that.<br />

Member of Parliament – Mjumbe awe amechaguliwa kutoka constituency level na akiwa ameshindwa na kwenda kwa bunge<br />

kama vile wamezoea, kama mtu amechaguliwa wengine hawaendi kwa bunge, wanaenda wakati wapendao. Awe<br />

akichukuliwa hatua ama mtu anaajiriwa mwingine, kukatwa mshahara, na pia kufutwa kazi, na watu wakapewa nafasi ya<br />

kumchagua mwingine. Member of Parliament, kuwe na, wakipiga kula wawe na three quarters katika parliament ili wapitishe<br />

motion, sio watu kidogo wakifika wamepitisha wengine wanalia, wanahongwa, hii inakuwa mbaya. Kuwe na central board,<br />

kuwe na kamati ya level ya national, kamati hiyo iwe inaangalia masirahi ya wajumbe. Kama vile wakati wa sasa wajumbe<br />

walijipongeza pesa, walijipatia mishahara yote, hawajari kwa sababu hao ni law makers. Wanastahiri waajiriwe wapewe<br />

mishahara na kamati fulani kama central board katika Kenya hii na pia hiyo central board iwe inaangalia bunge, kikao cha<br />

bunge sasa kimepitisha tutafanya hii, tutafanya hii tutafanya hii, kama hakijafanya kuna uwezo wa mbunge hiyo kuondolewa,<br />

wananchi wakapewa kura ya maoni, wakapiga hata wakaiondoa hio bunge, badala ianze kuimba kuimba, na hakuna matunda<br />

wananchi wanavuna kutoka kwao. Pia, Parliament, be given power to appoint, wawe wana-appoint Minister, kuwe hakuna<br />

assistant minister kuwe na deputy minister na parliament iwe ndio inawa-appoint, Parmanent Secretary wawe wana-appoint, in<br />

every ministry, Deputy Permanent secretaries, it should be independent body, it should be appointing ambassedeurs, Ministry<br />

directors, police commissioners, parliament should be saying who will be the general army forces in Kenya. Senior government<br />

officers should have the work which will merge with education, for example, tuseme kama minister amechaguliwa na bunge,<br />

asiwe ni mtu amesomea social services, anapewa internal security. Hiyo ni kuonyeza hataiweza kazi na kazi itaanguka, kwa<br />

hivyo awe akichaguliwa akiangaliwa, pia PS vile vile<br />

Com. Abubakar: Uwe unamalizia<br />

Garvason Mathew: Naende kumalizia Bwana Commissioner. Katika budget, wakati budget imekuwa imetengenezwa Kenya,

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!