ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
109<br />
Garvason Mathew, organizing secretary DP Tigania East Constituency. Na kwanza imeandikwa kwa kingereza lakini<br />
nitafafanua kwa kiswahili, ili nipate point moja moja kwa haraka.<br />
Tumepropose kuwe na serikali iliye na President amechaguliwa na watu wengi Kenya. Na pia tumepropose kuwe na Prime<br />
Minister ambaye amechaguliwa na majority votes of parliament. Tumepropose kuwe na Vice President wawili, mmoja awe ni<br />
mwanamme na mwingine awe ni mwanamke.<br />
Presidential Powers: Tumepropose kama sasa, tuliye na President mwenye uwezo mkubwa sana katika serikali na kila mahali<br />
na tumeomba katika katiba mpya, hiyo President atakaye President, awe na powers kidogo akiwa anaenda sababa na<br />
wajumbe wengine katika bunge kama lile asiwe na uwezo wa ku-appoint ministers, asiwe na uwezo wa ku-appoint parmanent<br />
secretaries, asiwe na uwezo wa ku-appoint ministry directors, asiwe na uwezo wa ku-appoint ambassedeurs, asiwe na uwezo<br />
wa kufunja bunge, asiwe na uwezo wa kupeana security outside the country with the permission of the government, pia asiwe<br />
na uwezo wa kuchagua commission, electrol commission ambaye imesimamia uchaguzi, hiyo iwe kuwe na electrol commission<br />
imesimamia uchaguzi ikiajiriwa kama waajiriwa wengine wa serikali na sio retired people. Awe ni mtu anaajiriwa kiserikali<br />
kabisa. Kwa sababu mtu akiajiriwa atajua akiharibu ataharibu kazi yake. Has no power to appoint senior magistrate, has no<br />
power to say that army should go to the war before the parliament knowing and vote for that.<br />
Member of Parliament – Mjumbe awe amechaguliwa kutoka constituency level na akiwa ameshindwa na kwenda kwa bunge<br />
kama vile wamezoea, kama mtu amechaguliwa wengine hawaendi kwa bunge, wanaenda wakati wapendao. Awe<br />
akichukuliwa hatua ama mtu anaajiriwa mwingine, kukatwa mshahara, na pia kufutwa kazi, na watu wakapewa nafasi ya<br />
kumchagua mwingine. Member of Parliament, kuwe na, wakipiga kula wawe na three quarters katika parliament ili wapitishe<br />
motion, sio watu kidogo wakifika wamepitisha wengine wanalia, wanahongwa, hii inakuwa mbaya. Kuwe na central board,<br />
kuwe na kamati ya level ya national, kamati hiyo iwe inaangalia masirahi ya wajumbe. Kama vile wakati wa sasa wajumbe<br />
walijipongeza pesa, walijipatia mishahara yote, hawajari kwa sababu hao ni law makers. Wanastahiri waajiriwe wapewe<br />
mishahara na kamati fulani kama central board katika Kenya hii na pia hiyo central board iwe inaangalia bunge, kikao cha<br />
bunge sasa kimepitisha tutafanya hii, tutafanya hii tutafanya hii, kama hakijafanya kuna uwezo wa mbunge hiyo kuondolewa,<br />
wananchi wakapewa kura ya maoni, wakapiga hata wakaiondoa hio bunge, badala ianze kuimba kuimba, na hakuna matunda<br />
wananchi wanavuna kutoka kwao. Pia, Parliament, be given power to appoint, wawe wana-appoint Minister, kuwe hakuna<br />
assistant minister kuwe na deputy minister na parliament iwe ndio inawa-appoint, Parmanent Secretary wawe wana-appoint, in<br />
every ministry, Deputy Permanent secretaries, it should be independent body, it should be appointing ambassedeurs, Ministry<br />
directors, police commissioners, parliament should be saying who will be the general army forces in Kenya. Senior government<br />
officers should have the work which will merge with education, for example, tuseme kama minister amechaguliwa na bunge,<br />
asiwe ni mtu amesomea social services, anapewa internal security. Hiyo ni kuonyeza hataiweza kazi na kazi itaanguka, kwa<br />
hivyo awe akichaguliwa akiangaliwa, pia PS vile vile<br />
Com. Abubakar: Uwe unamalizia<br />
Garvason Mathew: Naende kumalizia Bwana Commissioner. Katika budget, wakati budget imekuwa imetengenezwa Kenya,