ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
114<br />
Peter Mbithu: Kwou watho bwikirwe bwa barabara na miunda<br />
Translator: Kwa hivyo sheria inatakikana iwekwe, ya barabara na shamba,<br />
Peter Mbithu: bwa jairi<br />
Translator: Ya pili,<br />
Com. Abubakar: Hiyo ni ya tatu, Mwambie mzee ni ya tatu na sasa aanze kufupisha.<br />
Peter Mbithu:<br />
Translator: (vernacular)<br />
Peter Mbithu: Kwou mtu aewa munda, na ambirie kuritira ngugi, igaitwa njira kairi.<br />
Translator: Kwa hivyo mtu akipewa shamba, na aanze kuiendelesha, isitolewe njia tena baada ya miaka.<br />
Peter Mbithu: Niunto munda ni jwawe<br />
Translator: Kwa sababu shamba saa ni yake.<br />
Peter Mbithu: Na yethrwa ruji irokwoneka ku<br />
Translator: Na kama maji inapitia huko,<br />
Peter Mbithu: Enjere mutaro kana thirikari<br />
Translator: Kwa hivyo achimbie mtaro ama serikali<br />
Com. Abubakar: Mweleze, mzee, subiri mzee, goja, goja, mueleze mzee, nimesikia kuhusu mambo ya ardhi, nimesikia kuhusu<br />
mambo ya barabara, na nimesikia kuhusu anavyo sema, mtu akikatiwa mashamba, kama kuna mipango ya kuweka barabara,<br />
aambiwe kimbele barabara itapita hapa. Ndio asiwachwe atengeneze shamba lake, harafu ndio aje aambiwe barabara itapita<br />
hapa. Nimeelewa hayo, anamengine<br />
Peter Mbithu: Anene nande, ariaria baria batotongeretie<br />
Translator: Wakubwa sasa, anazungumzia wakubwa sasa, watawala,<br />
Peter Mbithu: Mwana wawe athoka atioragwa<br />
Translator: Mtoto wake akiharibu hachapwi