05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

114<br />

Peter Mbithu: Kwou watho bwikirwe bwa barabara na miunda<br />

Translator: Kwa hivyo sheria inatakikana iwekwe, ya barabara na shamba,<br />

Peter Mbithu: bwa jairi<br />

Translator: Ya pili,<br />

Com. Abubakar: Hiyo ni ya tatu, Mwambie mzee ni ya tatu na sasa aanze kufupisha.<br />

Peter Mbithu:<br />

Translator: (vernacular)<br />

Peter Mbithu: Kwou mtu aewa munda, na ambirie kuritira ngugi, igaitwa njira kairi.<br />

Translator: Kwa hivyo mtu akipewa shamba, na aanze kuiendelesha, isitolewe njia tena baada ya miaka.<br />

Peter Mbithu: Niunto munda ni jwawe<br />

Translator: Kwa sababu shamba saa ni yake.<br />

Peter Mbithu: Na yethrwa ruji irokwoneka ku<br />

Translator: Na kama maji inapitia huko,<br />

Peter Mbithu: Enjere mutaro kana thirikari<br />

Translator: Kwa hivyo achimbie mtaro ama serikali<br />

Com. Abubakar: Mweleze, mzee, subiri mzee, goja, goja, mueleze mzee, nimesikia kuhusu mambo ya ardhi, nimesikia kuhusu<br />

mambo ya barabara, na nimesikia kuhusu anavyo sema, mtu akikatiwa mashamba, kama kuna mipango ya kuweka barabara,<br />

aambiwe kimbele barabara itapita hapa. Ndio asiwachwe atengeneze shamba lake, harafu ndio aje aambiwe barabara itapita<br />

hapa. Nimeelewa hayo, anamengine<br />

Peter Mbithu: Anene nande, ariaria baria batotongeretie<br />

Translator: Wakubwa sasa, anazungumzia wakubwa sasa, watawala,<br />

Peter Mbithu: Mwana wawe athoka atioragwa<br />

Translator: Mtoto wake akiharibu hachapwi

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!