05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

89<br />

amechukuliwa, aliondoka kwa mali yake, imunity ya land akawekwa milimani pahali kwenye jua, pahali kwenye mawe,<br />

akatolewa kwa mali, akiulizwa anasema anabebwa. Na hakujua pahali ambaye alikuwa, kuna watu wa simu kali. Ombi langu ni<br />

hii, ninaomba katiba ituangalie, ukiangalia kwa miaka hiyo mimi nasema, na mpaka wakati huu tunaye. Kwa hivyo tuone wale<br />

ambao walipima mashamba 1966, wazee wale walikuwa wanapima na akina mama wanakwisha wengi, wanakufa bila kuona<br />

title. sababu sikuonelea, serikali wale wanatuandikia _______, anafanya hapa, anasongesha hapa, anasongesha hapa mpaka<br />

akapata ile mali alikuwa anataka. Watu wa kijiji hio wakilalamika anaambiwa atapigwa transfer. Akipigwa transfer<br />

anapelekwa pahali pengine haop karibu. Yeye akafanye namna hio. Tunaomba wakati huu, akiwa anatenda yale hapendeki,<br />

badala ya kupigwa transfer, arudishwe nyumbani, afutwe,<br />

(Interruption)<br />

Com. Abubakar: Sawa mzee,<br />

Paul M’tuambutu: sababu anakamatwa na wizi wa mashamba. Ya tatu,<br />

Com. Abubakar: La mwisho<br />

Paul M’tuambutu: ya tatu sisi tuna taabu sana, ninaomba katiba ipya, mambo ilikuwa inafanywa council na Njonjo, ili ya<br />

wasichana, wasichana wale ambao wako nyumbani, kijana anaenda anafanya urafiki naye anamtia mtoto, anamuacha hivi,<br />

Mtoto yake yule baba yake anaachwa kuhangaika hapo. Msichana mmoja anaweza kuwa na watoto wawili watatu wanne<br />

wanaachiwa na mzee na mzee hakuna nguvu,<br />

Com. Abubakar: Mzee pendekezolako ni kwamba ikiwa kuna kijana anamtia mimba mtoto wa mtu awe anamuoa au atunze<br />

yule mtoto mpaka atakapokuwa mkubwa<br />

Paul M’tuambutu: Mpaka atakapokuwa mkubwa, mpaka achukuwe kipande, mpaka afikishe miaka 18,<br />

Com. Abubakar: Sawa, tumekubali hiyo mzee tumesikia.<br />

Paul M’tuambutu: Ya nne<br />

Com. Abubakar: ufanye mwisho mzee wangu, kwa sababu nimekupa muda kushinda watu wengine wote kwa sababu wewe<br />

ni mpiganiaji uhuru. Sawa mzee.<br />

Paul M’tuambutu: Ya nne, jia hii yetu yetu sisi wameru, kabla mzungu hajaingia nje hii, ilikuwa inalidwa na wazee wa<br />

Njurincheke, hii wazee wa Njurincheke, walikuwa wanachukua jukumu ya kuangalia njia zote zile inaweza kuhangaisha<br />

mwananchi kama hiyo nasema wasichana, kama ya kuua mtu, wazee ndio walikuwa wanalipisha. Kwa hivyo mambo ya<br />

mashamba na mpaka na msitu, na vipima vya maji, ilikuwa inalidwa na wazee wa Njurincheke. Ninaomba hii katiba, iwape<br />

wazee hawa wa Njurincheke jukumu ya kuangalia nje hii kama vile ilikuwa zamani kwa sababu ni zitu hawawezi kusumbuliwa,<br />

maji hayawezi kuwa baya kwa sababu mambo kuitupia wazee nyumbani itakuwa mzuri.<br />

Com. Abubakar: Asante sana mzee wangu,

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!