ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
43<br />
(crowd: Ni sawa) Akaja mtu mgojwa, tutaomba mtupe ruhusa hiyo hiyo, akaja mtu mzee sana ambaye hawezi kukaa kwa<br />
mda mrefu, pia tutaomba ruhusa hiyo. Ni sawa<br />
Sasa huyu mwingine, kazi yake ni kuandika report kwa mkono mrefu, yule ana-record, huyu anaandika, na huyu ndio kiongozi<br />
wao Roselyn Nyamato ni Programme Officer katika secretariat yetu officini huko Nairobi na kazi yake hii ilikuwa na hii register<br />
anawaonyesha hii. Ukishamaliza maneno yako pale, unakuja hapa unaandika kwa mkono wako na kusign na utaulizwa maswali<br />
ya kuandika hapo ndio ujulikane kwamba wewe umetoa maoni yako. Ile kuandika pale form, nikuonyesha pengine unataka<br />
kutoa. Hii ni kuonyesha kwamba umeshatoa. Sijui kama tunaelewana Kuna mtu anaweza kuja hapa aseme nimegaili nia<br />
sitaki tena kutoa, na kuna mwingine alikuja hapa kutokutoa baadaye aseme anataka kutoa, sio hivyo Unaruhusiwa kutoa,<br />
unaruhusiwa kutokutoa, ukitaka kusiliza tu pia unaruhusiwa hivyo lakini ukimaliza kuzungumza pale, hakikisha umeenda pale<br />
ukaandika jina lako ukamaliza. Kuna swali lolote. Hakuna. Asanteni sana, na saa ningependa kumrudishia chombo hiki mzee<br />
wangu Mzee Ratanya aanze kazi hii twendelee.<br />
Com. Ratanya: Asante sana Commissioer Zein hata kwa kueleza kwa hiyo lugha nzuri sana ya kwenu huko Mombasa, kwa<br />
hivyo tunafurahi sana wananchi wamesikia vizuri, na hapo ya mwisho ningetaka kuhimiza hata zaidi ukiwa na memorandum ama<br />
maadishi, na wewe hutaki kuongea, unaweza kwenda pale kwa Programme Officer upeana memorandum na using register ata<br />
uende ukitaka, ama uketi usikilize wengine.<br />
Jia ile ingine tumesema ni kwamba unaweza kuwa na memorandum halafu ui-highlight, uende point kidogo kidogo umalize<br />
kulingana na saa zile umepewa na upeane. Na tena ni kama huna chochote kama memorandum, ketu tu uongee yale yako<br />
katika kichw chako. Sasa tuanze kwa haraka, na mmesikia niliwaambia mbeleni hapo ni dakika tano, ikiwezekana hata<br />
ukijaribu kwenda less than 5 ni sawa sawa. Tuanze na Thomas Mungeria.<br />
Thomas Mungeria: Thank you very much commissioners, chairman na ma-audience. I’m here to represent my constitution<br />
review change to this kikao. Jina langu naitwa Thoma Mungeria from Adaburi land and irrigation committee. Sasa nitaanza,<br />
nitaaza na maneno ya state.<br />
‣ I would like this constitution to change the Kenya currency instead of having the continuous portrait of any President to<br />
have a continuous symbol like mount Kenya or other important thing in the country.<br />
‣ Another one, the President – the Presidential powers should be reduced in appointing the big personnels e.g like MDs<br />
Chairmen of any national organizations. This should be done by an independent commission which is not at the mercy<br />
of anybody.<br />
‣ Police – police when arresting should not be allowed to use any of their powers, but they should be allowed to use any<br />
power without any torture.<br />
‣ Judges – judges should be appointed by commission which is very independent from the President.<br />
‣ Second, when somebody is being presented in a court, the sentence should run with the degree of an offence, not