ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
81<br />
madiwani, malipo yao yawe yanatoka kwa serikali, sio pesa ya kusanywa na wananchi halafu wanapewa.<br />
Nikitoka hapo kwa local authorities, katika hii sheria mpya, ninaonelea ma-chairmen ma-mayors wawe wakichaguliwa na<br />
madiwani ili kile kipindi tunawachagua cha miaka miwili wawe tukisema kitu kuhusu wananchi wetu wanaogopa kukataa.<br />
Wakichaguliwa na wananchi, watakuwa watu wakubwa, hata katika huko local authority hatutawaweza.<br />
Ya pili mwenyekiti, maneno ya provincial administration – provincial adminstration ningeomba ikiwa sheria haitawaondolea<br />
mbali kabisa, wawe watu wakuenda transfer kama wafanyi kazi wengine wa serikali ili kuzuia wasiwe na hila na mtu huyu ama<br />
yule mwingine. Wafanye kazi kama vile DO wanafanya na wale wafanyi kazi wengine wakiwa wanafanya wanaenda transfer.<br />
Pia kuna sheria ingine kuhusu hawa Provincial Administration, wengine hawana elimu kabisa. Nao pia, katika sheria yetu mpya<br />
tungeomba serikali iwaajiri kazi ama kama ni kuwachagua, tuwachague wakiwa watu wakutoka secondary katika education<br />
yao.<br />
Com. Ratanya: Secondary kiwango gani Form 1 ama niii….<br />
John Muchunuku: Form 4. We are talking, sheria inahusu ardhi, land na pia wanacommissioner ningeomba hata kwa the<br />
current parliament, sheria ya land ya kusema mwanakamati akichaguliwa, asubue wananchi wake mpaka wakati atakufa. Hiyo<br />
ningeomba hata bunge iende iondoe hio kifungo hata kabla ya kusafisha hizo sheria zetu mpya ili kuwe na parm of the office<br />
ndio mwanakamati ambaye anachaguliwa kwa sababu amenyanyasha wananchi sana.<br />
Na pia, nikitoka hapo, arbitration boards pia wanacommissioner ziwe zinafanywa na wananchi hadhalani kwa sababu hii<br />
appointment kuwa appointed na Machiefs ama MaDO, MaDCs wanawekea wananchi nusu ingine ambayo haifai, unaangalia<br />
yule mtu ambaye wanataka wanaweka, lakini mtu wa kuchaguliwa atakuwa mtu wa maana kwa watu kwa sababu atafanyia<br />
watu kazi nzuri.<br />
Nikitoka hapo, na ya mwisho ni kuhusu mipaka yetu, ama mipaka ya Kenya karibu yote. Mipaka yetu sisi tulikuwa tunaonelea<br />
zamani mipaka yetu ilikuwa inalidwa na Njurincheke. Na hata kama tunaingiza provincial administration huko, pia lazima<br />
waadamane for the purpose of the security ili Njurincheke ipewe nafasi yake iangalie mipaka ya wananchi ama mahali<br />
wanatoka. Na pia, Njurincheke, public lands ziwe zinaangliwa na county council na Njurincheke. Zitoke kwa provincial<br />
adminstration kwa sababu karibu zote wanalamia hazijulikani mahali ziko. Asante.<br />
Com. Ratanya: Asante sana. Anayefuata ni Jospaht Kiraithe<br />
Josphat Kiraithe: Mimi kwa jina ninaitwa Josphat Kiraithe, nitachangia mjadara wa katiba. Kwanza ninaaza.<br />
President – achaguliwe mtu asiwe na makosa ya kubora mali ya uma na awe na masomo ya juu. President achaguliwe siku<br />
yake peke yake. Na wabunge pia wawe watachaguliwa siku yao ili kusiwe na udanganyifu.<br />
Mali ya uma, igawanywe sawa kwa constituencies zote za Kenya. Ningetaka pia, jeshi letu la Kenya, police, magereza, vio