ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
137<br />
Jambo lingine tungependa kuwashukuru wale wote waliofanya kazi hii waweze kuwa ni kazi imefanyika vizuri kwa shukurani<br />
zetu nyingi sana kwa headmaster wa shule hii, kwa kuweza kutukalibisha hapa ingawaje elimu inaendelea, tukaweza tukapewa<br />
darasa kama hili, tukafanyia kazi hapa na pia tunashukuru sana kwa headmaster kuwaruhusu wanafunzi pamoja na waalimu kuja<br />
kutoa maoni na ni muhimu sana kwa watoto kama wale kutoa maoni na tumeshukuru sana Bwana headmaster, kazi hiyo ni<br />
nzuri. Na pia tunamhakikishia ya kwamba tutaandika mwisho, kila mahari tulipata usaidizi na kila mahari tulifanyia kazi yetu<br />
tutaandika katika historia ya Kenya, kwa hivyo shule hii na watu wa hapa wameshaingia kwenye historia kwamba walihusika<br />
katika kubadirisha katiba yao. Halafu pia tungeweza kuwashukuru wale wengine waliochangia kwa njia moja au ingine na<br />
kuhalifu kwamba leo tumefanya nusu ya sehemu ya hapa, ya wakilishi bungeni Tigania East, kesho tutafanya kikao kingine,<br />
jumatato, Muthara Polytechnic Jumatato, Ikiwa sasa ulikosa fursa hapa, au pengine ulikuwa hujajikaza moyo kuwa tayari kutoa,<br />
au una wenzako ambao walikuwa hawajapata habari, waje kule Muthara Polytechnic watakuwa na fursa ya kutoa maoni yao.<br />
Halafu ningependa kuwashukuru wafanyi kazi wetu, nimeona wamefanya kazi kwa bidii, hata mtu alipopotea tunajaribu hivo<br />
hivo tunang’ang’ana, tumekuwa na hao kutokea jumatatu mpaka leo ijumaa, pengine kesho na jumapili ndio watapumzika halafu<br />
tuaanze tena. Na pia ningemshukuru sana commissioner mwenzangu mzee wa huku, huyu ni mzee wa Njurincheke, na<br />
amenikaribisha vizuri, hata nimeaanza kufundishwa kimeru kidogo kidogo. Sijaweza kuanza kula miraa lakini nimeanza<br />
kufundishwa kimeru kidogo kidogo, jinsi ya kutamka maneno, na majina ya watu, na nina furaha kubwa sana nimekaa vizuri<br />
hapa na hata wafanya kazi wetu wana furaha tumekaa vizuri, tulikuwa pande za maua huko, Igembe, tukaenda Ntonyiri, sasa<br />
tumefika hapa. Ningependa kumpa fursa hii, mwaakilishi wetu ili atoe mambo anayotaka kuzungumzia na pengine kama kuna<br />
watu anataka kuwashukuru, halafu akimaliza aite mmoja wetu atuongoze kwa maombi halafu akiturudishia sisi chombo hichi<br />
tutafunga kikao hiki lasimi.<br />
George Kimanthi: Asante sana Commissioner Zein, asante sana commissioner, mimi sina mengi ya kusema ila tu<br />
nitamshukuru nyote kwa kujitolea kwenu kutoka asubuhi tulipokuja hapa, tumeona katika sehemu zote za Mikinduri, na<br />
nimeona vile mmepeana maoni mazuri, kwa hivyo ningetoa shukurani nyingi sana kwa sababu ya kujitokesha kwenu. Saa hii<br />
nitawashukuru macommissioner kwa kujitolea kwao, tumekuwa na hao tangu asubuhi, na sasa jumatatu tumekuwa na hao<br />
mpaka Nyambene, mimi sina mengi sitarudia kwa vile amesema lakini nitasema ya kwamba, kama alivyo mwambia, jumatatu<br />
tuko Muthana Polytechnic, na kama kunaye ana msoana anaweza kwa office yangu, office yangu iko county council, county<br />
council Maua, mwajua pale iko Kwa hivyo kama kuna mambo, kuna watu ambao wamewachwa na wako na maoni labda<br />
wangetaka kuandika, wanaweza andika na watuletee hapo, tunaweza tuma Nairobi ama tupeleke sisi wenyewe. Kwa hivyo<br />
hatujafunga kabisa kuleta maoni ya watu, tunaendelea mpaka, kabla mwezi wa nane, kama vile commissioner amesema.<br />
Jambo lingine ambalo ningetaka kuwakubusha, wale wanasomesha elimu ya uraiya, civic education providers, ni kwamba tuko<br />
nao, hatuja ______ kabisa. Huu sio mwisho wa kulekebisha katiba, sasa mkubuke ya kwamba commission itakusanya maoni<br />
ya wananchi katika eneo la wakirisho ______________ maoni pamoja, halafu itoe report, na hii report lazima italetwa kwa<br />
wananchi tena ili musome hiyo report na muone mapendekezo yenu ya kurekebisha katiba, na kama kuna ye atakuwa na swali