05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

40<br />

Roselyn Nyamato - Programme Officer<br />

George Kariuki - Asst. Programme Officer<br />

Zipporah Wambua - Verbatim Recorder.<br />

George Kimanthi - Co-ordinator<br />

Jimmy Muketha - Chairman<br />

George Kimanthi: Leo tuko na fulaha kubwa hapa Mikinduri, vile tumekuwa tukimwambia, leo tuko na commissioners,<br />

tumekuja hapa Mikinduri kuchukua maoni yenu, nitamueleza majina yao baadaye lakini ningeomba kwanza tuanze na maombi,<br />

mmoja wenu atuongoze kwa maombi.<br />

Mr. Kubai: Natuombe, Baba wetu uliye binguni, tunakushukuru baba kwa kutuwesesha kuona huu mchana wa leo, tena baba<br />

yetu kufikisha hata wageni wetu hapa Mikinduri ili kuongoza hali hii kulekembisha katiba, Mngu baba wetu tunakuomba baba,<br />

wewe ndiye unachagua wafaume ama viongozi, baba tunakuomba utuchagulie kiongozi anayefaa kutuongoza baba.<br />

Tumeteseka na ufisadi, na rushwa baba tunakuomba, kiongozi utakayemchagua akomeshe rushwa akomeshe ufisadi, ili baba<br />

watoto wetu wapate ujira, baba wetu uliye binguni, yeyote atakayeongea leo hii hapa Mikinduri, baba mpe nguvu na uwezo ya<br />

kuongea yale yatawezesha hii katiba ya Kenya kuweko kwa njia nzuri, baba wetu tunaomba kwa Kenya nzima, baba kuna<br />

magojwa mengi, shida nyingi za ukosefu wa kazi, na kadhalika. Baba tunaziweka mikononi mwako, ili yeyote atakayeongea<br />

aongee akiwa umemjaza roho wako mtakatifu. Twakuomba hayo machache tukijua baba utatukamilishia kwa jina la mwana<br />

wako bwana wetu Yesu Kristo. Amen.<br />

George Kimanthi: Asante sana bwana Kubai, kwanza kabisa mimi naitwa George Kimanthi. Labda kuna wengine ambao<br />

sijawai kutana na hao hapa lakini nakubuka nimekuwa katika vikao mingi hapa, kuona kazi yenu huko _____ (inaudible). Ni<br />

kawaida yetu kutabulisha wale tuko nao katika kila mikutano. Naona hapa tuko na chairman wa committee Mr. Jimmy<br />

Muketha. Halafu tuko na mwingine, wengine hawajafika, kuna wengine kwao ni mbali sana kama huko _______(inaudible) na<br />

kuna huyu mwingine ako hapa nje, Isaiah King’eru, mnamjua Kwa upande huyu tuko na commissioners kama vile<br />

tumemwambia, tuko na commissioner Zein Abubakar, halafu tuko na commissioner Domiziano Ratanya. Hapa tuko na<br />

prorgramme officers, tuko na Roselyn Naymata, halafu tuna Mr. George Kariuki, na Zipporah Ndunge. Hawa ndio tuko nao<br />

leo kuchukua maoni yenu kwa sababu hii ndio ile stage mhimu sana katika hii shughuli yetu ya kulekebisha katiba ya Kenya.<br />

Kwa hivyo mimi leo sitakua na mengi ya kusema, nataka tu kumuomba mshikilie yale watakaomwambia, watamueleza vile<br />

wanataka nyiny mtoe maoni yenu. Langu ni kumuomba tu muwe watulifu, msipige makirere, mfuate ile mtakaoambiwa, ile<br />

talatibu mtakaopatiwa mfuate sababu kama mnajua watu watakua wengi sana hapa na ukiambiwa uchukue dakika tatu ama ni<br />

mbili, ushikilie hapo usije kukaa hapa sana, kuongea saana kwa sababu kila mtu anataka kupewa nafasi ya kuongea. Si ni hivo<br />

Kwa hivyo nitamuomba Commissioner Damiziano Ratanya ampe ule utalatibu mtakaofuata na atamueleza zaidi kile wangetaka<br />

mfanye kama wananchi wa hapa Mikinduri.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!