05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

72<br />

Mirungi Atunus: Asante sana kwa mwenyekiti. Kwa majina naitwa Atunus Mirungi kutoka upande wa Ngania. Jambo langu<br />

nataka lisiwe maanane ni hii na zungumzia. Mara mingi tumesikia ya kwamba ati serikali inapeana masomo ya bure kwa<br />

wananchi na hivyo sio ilivyo. Kama upande wa primary school, tumesikia ati serikali ilipeana masomo ya bure na tukiendelea na<br />

haya maneno, tunaangalia pande ya waalimu wa nursery school wanalipwa na wazazi na hiyo inakuwa na shida mingi sana kwa<br />

upande wa wazazi. Kwa maoni yangu nataka kama mwalimu wa nursery school awe ameajiriwa na serikali na isiwe maanani<br />

kwa sababu, na akiajiriwa lazima awe na experience na qualification ya college kama waalimu wengine na awe ameajiriwa na<br />

serikali sio wazazi.<br />

Jambo langu la pili, nazungumzia kuhusu hawa vijana wanaambiwa wanatia wasichana wa wenyewe mimba na wakawaacha.<br />

Ile jambo yani ninataka kusema hivi, kama vijana anaenda kwa mzee fulani, atie msichana miimba, na aende, serikali imchukulie<br />

hatua, kama ni huyu kijana akikataa kuoga huyo bibi alee huyo mtoto mpaka wakati umri wake ufike wa kuchukua kitabulisho.<br />

Maoni yangu mengine mwenyekiti, nasema ya kwamba, twende upade wa uchaguzi, kama ni ile contact zinapeanwa kwa<br />

ukalabati, tumesikia ya kwamba pande fulani kuna ukalabati inafanywa na mtu fulani. Hayo nami nataka kuyatia maanani ya<br />

kwamba, mtu akipewa kazi ya ukalabati, awe na qualification ya kutengeneza hiyo ukalabati, sio experience ya pesa. Naona<br />

kuna wale wako na qualifications lakini hawana pesa za kwendesha hiyo nini<br />

Jambo la tatu, nataka pande ya President, p<br />

Com. Ratanya: Goja kidogo, kuna watu ambao wanapiga kelele huko nje, mnajua mkiendelea namna hio itaingia kwa record<br />

yetu hapa. Kwa hivyo mnyamaze. Kwa hivyo endelea Atunas.<br />

Murungi Atunus: Kwa upande ya President, nataka serving President awe ako na sada ya degree na sio sada ya kupandikwa.<br />

Na upande ya bunge, mtu achaguliwe akiwa na umri wa miaka arubaine kwenda 75 na upande wa udiwani, local authorities,<br />

awe na elimu ya O’ level na nataka ata wale ambao wamechaguliwa wakiwa chini ya form 4 wasiruhusiwe hata kuomba kula<br />

kwa uchaguzi ujao<br />

Jambo lingine langu na la mwisho, naongea kuhusu hii mambo ya administration, upande wa chief, chief awe amechaguliwa na<br />

watu kwa mlolongo na awe amefikisha kiango cha O’ level na pande ya serikali, askali akishika mtu, sio lazima aweke kwa<br />

kambi kwa sababu ako na mabrother, ashike mtu apeleke yeye kwa koti mara moja sio kuweka mtu kwa cell. Kwa hayo<br />

machache namalizia hapo.<br />

Com. Ratanya: Asante sana Atunas kwa hayo machache. Sasa kuna Kobia Ritari Isaiah.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!