05.01.2015 Views

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

ON 17TH MAY, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

You also want an ePaper? Increase the reach of your titles

YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.

138<br />

ama mapendekezo mapya, ataruhusiwa kwenda Embu, atoe mapendekezo yake tena. Kwa hivyo hatujamalizana na civic<br />

education providers na hata nyinyi raiya kwa sababu tutakuja tena hapa wananchi tuwapatie report, tuwaambie tulikuja<br />

Mikinduri mkatuambia hii na hivi, na muone kama ni nyinyi mlisema hivyo. Halafu kama kuna mapendekezo, mtatoa tena. Kwa<br />

hivyo kama hawa wa civic education providers, watakuwa nanyi tena, mtaendelea nanyi tena, tutaendelea nanyi kwa sababu<br />

mimi ni mtafusi wa hii report, si hatuwezi kuingia, kwenda kila mahali, tutakuwa nanyi wakati wote, kwa hivo msiwe na<br />

wasiwasi, nitatumana kupitia kwa kamati yangu tuko na chairman hapa, Jimmy uketha, nitatumana nimwambie tutakutana lini na<br />

tuone vile tutaendelea na kazi yetu kama kawaida. Nitaachia hapo, nitamuomba Jimmy Muketha atoe shukurani, vote of thanks<br />

halafu turudishie commissioner tufunge kikao hiki hazimi. Asante.<br />

Jimmy Muketha: Macommissioner wetu, Bwana Ratanya, Bwana Abubakar, coordinator Bwana Kimanthi, wafanya kazi<br />

wa commission, na wananchi, yangu ni machache tu sitaki kurudia yale maneno yamesemwa na commissioner au Bwana<br />

Kimanthim yangu ni kusema ni asante sana kwa wananchi kwa kuja katika kikao hiki asante sana kwa headmaster, kwa<br />

kutupatia office, siku zile tumefanya mikutana hapa, hata Bwana Ratanya anakubuka tulikuwa tumeketi hapa wakati wowote, na<br />

hata leo umetupatia hospitality hiyo, tunekushukuru sana, na chairman wa shule muambia tumeshukuru sana, na Bwana Ratanya<br />

na yule Commissioner mwingine, karibuni tena Tigania. Thank you.<br />

Com. Ratanya: Tupate mmoja atuongoze kwa maombi, Ntomentai, kuja hapa mbele,<br />

Ntomentai: Tuombe, part of prayers in Kimeru and continues in kiswahili, tunakuomba, kwa yale yote unaweza kutendea<br />

hapa, kwa juu yako mwenyezi Mungu kwa vile unatufanyia hapa tunakuomba tunakushukuru, mahari popote tunaenda, wende<br />

nasi, pahari commissioner wanaenda na gari uende nao, mpaka pahari wanafika, ufike pamoja nao, kazi ile wanafanya wasaidie<br />

kwa mkono wako Mungu ufunike na kivuli yako ya roho mtakatifu na uwapatie mawaidha katika Kenya Baba Mungu,<br />

tunakushukuru kwa vile unatufanyia kutoka asubuhi, mpaka leo, tunakuomba kwa hayo machache kwa ajiri ya mtoto wako na<br />

mwana mtakatifu tunakuomba kwa Mungu na Roho mtakatifu kwa mwana utujarie yale yote tunaweza kushukuru,<br />

tunakushukuru na tutakuomba yale Mungu utufanyie jiri ya Mungu, mtakatifu na mwana na roho mtakatifu AMEN<br />

Com. Ratanya: Asanteni sana, sasa ningependa kutambua kwamba na kutangaza kwamba kikao hichi cha tume kulekebisha<br />

katiba, kimefikia mwisho, I would like to officially declare that the sitting of the Constitution of Kenya Review Commision has<br />

come to an end. Thank you very much.<br />

Meeting ended at 5.30 p.m.

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!