05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Com. Ayonga: Councillor, umetuambia kwamba nini nomination ya councillors iwe abolished je na nomination ya MPs<br />

hukutuambia itafanywa nini kwa maana city councillors tu wanao kuwa nominated au umeiandika katika hiyo memo yako?<br />

Sylvester: Iko kwa memo.<br />

Com. Ayonga: Umesemaja lakini? Umeseama nao waendelee ama umesema wawe scrapped?<br />

Sylvester: Nimesema nomination of MPs also be scrapped.<br />

Com. Ayonga: Asante nilitaka kujua tu.<br />

Com. Asiyo: Na mimi niko na swali moja tu ningetaka kukuuliza. Mara nyingi nomination ya watu ambao wanawekwa kwa<br />

council au kwa bunge, ingekuwa ni wale watu wanaweza kusaidia nchi hizo au councils hizo. Pengine hiyo haijatendeka. Lakini<br />

kuna watu fulani ambao wanahitajika kuwa na representation. Kama watu walemavu au kina mama au wale maprofessionals<br />

pengine wanaweza kusaidia area yao kwa maendeleo fulani. Je bado unafikiria kwamba kusiwe na nomination yeyote kama<br />

inaweza kurekebishwa ili special groups kama hawa ndiyo wapewe nafasi pekee yake na sio wale ambao wanaenda kusubua<br />

macouncillors wale waliochaguliwa kama ilivyo kuwa hapo mbeleni. End of Tape 1 side A.<br />

Side B<br />

Sylvester: Asante Madam Commissioner, mbeleni ilikuwa jema kwa maana nomination ilikuwa watu with special knowledge<br />

walikuwa wanakuwa nominated waende wa-assist that city council or municipal yaani local authority, lakini haijakuwa ikifuatwa<br />

hiyo. Unakuta mtu ana nominate even somebody who is illiterate to the council. He is not beneficially to that council because<br />

somebody somewhere sat in his house na ku-discuss labda na jamii yake.<br />

Com. Asiyo: Hiyo ni kweli tumeshukuru na your point has sailed and we grateful to you if you can please go there and sign<br />

our register and also surrender that document. It now becomes our property.<br />

Sylvester: Thank you Madam.<br />

Com. Asiyo: Thank you very much. Take care. The other side that is where you will go. Sasa ninamuita Bw. Joseph arap<br />

Sambu Joseph yuko? Hebu fika mbele mzee uongee na sisi. Kama unamaandishi utachukukua mtu mfupi zaidi kwa maana<br />

kila kitu umeandika tutaweka kwa computer yetu na hakuna kitu kitapotea. Tafadhali endelea asante. Uanze na majina yako<br />

ndiyo iandikishwe kwa machine yetu.<br />

Joseph arap Sambu: Commisioners wetu, wageni ambao mmeandamana nao, Coordinator na team yake na wananchi ya<br />

hapa hamjambo? (Audience: clapping) Majina yangu ni Joseph arap Sambu. Mimi nasimama hapa nikitetea Katiba mpya<br />

nikiwa binafsi ingawa mimi ni chairman ya kamati ya shamba hii inaitwa Mumberech hatukupata nafasi kupatana na hawa ili<br />

11

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!