TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
kwa sababu tunaanza, ningetaka wale wa zamani watolewe.<br />
Com. Ayonga: Na wanatolewa mbila makosa ili wapatie wale wengine nafasi?<br />
John Koti. Ni retrenchment. Serikali iwe na mpango wa retrenchment na wanapatiwa benefits zao.<br />
Com. Ayonga: Hayo ni maoni yako na wananchi wengine wako na maoni yao.<br />
Com. Asiyo: Asante. Sasa ningependa kumuuliza Bw. Juliua Seronei na nyuma ya Julius tutakuwa na Walter Rop, halafu<br />
Jeremiah Kiprono atafuata. Kwa hivyo kila mtu ajitayalishe yale majina ambayo nimeitaja.<br />
Julius Seronei: Basi Com. Ayonga na Madam Com. na audience wa Kobatek ninatoa maoni yangu (interjection Com. Asiyo:<br />
anza na jina lako) Jina langu ni Julius Seronei. Ninatoa maoni yangu, kwa upande wa rasilimali ambaye tuko naye karibu<br />
hapa na hatupati hiyo rasilimali kwa sababu inaenda na watu wa mbali. Kwa hivyo ningependa kama hiyo rasilimali iko karibu<br />
na sisi tutumie sisi wenyewe.<br />
Kwa hivyo tunaye matatizo mengi kama shule, hatuna hata mabao ya kujenga nayo shule, hatuna hata miti ya kujenga nayo<br />
hospitali, hatuna hata ya kujenga hii health centres yetu kama centre hizi ndiyo mnaona hiyo ni baya sana kwa sababu tuone<br />
hapo kabisa kwa katiba ya leo kwa sababu tunahasara zaidi. Natunaye mali ya kutosha.Na kuwa upande ya watu wagaaji<br />
waishi mahali ambaye wanaishi wasichaguane kusema hii watu ni kabila fulani , hii watu ni kabila fulani. Wakae pamoja tu.<br />
Ya tatu ni upande wa masomo. Ninataka watoto wasome bure kutoka std. one mpaka university. Kwa sababu watu wengine<br />
hatujiwezi kwa sababu kuna watu maskini, walemavu wanazaa watoto na hawawezi kutafuta pesa. Kwa hivyo ninaona watoto<br />
wasomeshwe bure.<br />
Kwa upande wa hospitali kama sisi tukiwa hapa upande wa Mumberech hospitali iko mbali tunaenda mpaka Ravine au kama<br />
mgonjwa na kuwa serious anapelekwa Eldoret, au Nakuru, au Tenwe na ni mbali sana. Kwa hivyo ninaona tunatatisika sana<br />
kwa mambo ya hospitali. Kwa hivyo sina mengi ni hayo tu yangu. Maoni yangu ni hayo.<br />
Com. Asiyo: Tumeshukuru sana mzee unaweza kwenda pale ….. you want to ask?<br />
Com Ayonga: Mzee wewe unamaneno na ninataka tu ujibu kwa kifupi. Unasema natural resoruces ni rasilimali ambayo<br />
inpatikana kwa pahali fulani unasema unataka hayo mali itumiwe na watu wa hapo hapo.(Julius: Ndiyo) Wewe unakula kitu<br />
chote na hata serikali kuu hauipatii kitu? Huwezi kutoa kidogo, hukutuambia hao watu wanaohusikia wanachukua percentage<br />
gani na serikali kuu inachukua percent gani unakula yote?<br />
27