TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
uongozi ni kipawa kutoka Mungu. Lakini nasema hivi mtu ni lazima awe anajua kusoma na kuzungumza Kiswahili kabisa safi<br />
au Kiingereza. Hakuna shida kwa uongozi wowote.<br />
Kwa hivyo ninapomaliza hata the late Tom Mboya alikuwa akisomea shule huko Makongeni Thika. Na huko, alienda mpka<br />
Form 2 akawa secretary ya Labour secretary Nairobi mwisho akaenda Bunge. Akashika wizara mbili Ministry of Planning and<br />
Development. Na yeye ndiye alichampion serikali ya watu kwa watu – ya wale watu lakini mwishowe akaenda. Kwa hivyo<br />
alikuwa na degree Tom Mboya? Si iko kwa historia? Kwa hivyo uongozi ni uongozi. Kusoma unasomea kazi.<br />
Com Asiyo: Asante sana mzee umeongea vizuri tumeshukuru sana. sasa nenda ujiandikishe pale jina lako kwa register<br />
yetu… (interjection)<br />
Job Kandie: Sorry. Majimbo niko na qulifications tena. Hii ni vile nimechora majimbo. Proposal yangu is kuwa itakuwa hivi.<br />
Hii ni vile regions zinaweza kugaa na vile watu waliingia nchi hii. Walipitia huko, wakapitia hapo, wakapitia hapo, pale pale, na<br />
wako ndani Kenya between 17 th century na 18 th century. Walikuja kufuatana na upendo yao, wako kwa Rift Valley wengine<br />
Central Province. Tunataka tuwe majimbo ya kuelewana kwa watu wa kitamaduni. Si ya kwamba mtu kutoka Rift Valley<br />
aondoke kama si kabila ya Kalenjin, hapana. Sisi wote ni watu wa Kenya na lazima tumependa. These are Kenyans<br />
Com. Asiyo: Naweza kuwa na hiyo map mzee nione niangalie kidogo na pia tutachukua tupeleke huko Nairobi tuone hii map<br />
yako. Kuna swali hapa mzee.<br />
Com. Ayonga: Haya majimbo tutafuata boundaries gani zile zilikuweko mbele au boundaries za sasa?<br />
Job Kandie: La, Bw. Commissioner. We are ever forward but never backward so I propose that we remain the way we are<br />
now tuitwe majimbo.<br />
Com. Asiyo: Asante sana mzee.<br />
Com. Ayonga: Na hii karatasi ni mali yetu.<br />
Com. Asiyo: Na ulichukua muda kwa hii kazi tunakushukuru sana. Huyo ni mwalimu. Bw. Coordinator, that is now our<br />
property we will take it and see what regions are in this map. Sasa mzee karibu kuja utuambie jina lako uanze kuongea kwa<br />
dakika chache kwa maana niko na watu wengi sana na wewe ni.. wewe unaitwa?<br />
Jonah: Jina langu ni Jonah Kipkeria arap Keiyo. Yangu inaonekana imekuwa machache kwa sababu yule mzee alizungumza<br />
37