TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
Create successful ePaper yourself
Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.
Now mwenye kiti, tena inakuwa hivyo kwa DC; hakuna DC kwa sasa ni District Coordinator. Hakuna DO ni Divisional<br />
Coordinator, hakuna Chief, ni locational coordinator. Wote wapigiwe kura, si mlolongo ni ufisadi hiyo. Kwa sababu kuna jicho<br />
ambayo inaweza kutokea. Kwa hivyo ni sili na hawa wanatumikia region miaka mitano pekee yake. Halafu wanaweza kuwa<br />
eligible wachaguliwe tena kama wamekuwa wakisaidia watu. (interjection: inaudible) Tano. Anaweza kuendelea if he is<br />
protective he can continue.<br />
Com. Asiyo: Kuchaguliwa tena?<br />
Job Kandie: Akipita tena ni kuonyesha ya kwamba wananchi wanapenda yeye analeta maendeleo. La sivyo aende nyumbani.<br />
(clapping) Jambo lingine hata kwa DC hivyo hivyo. Na awe mzaliwa wa district. Hat DO hivyo hivyo na awe mazaliwa wa<br />
division. Hata chief, si chief sasa ni locational coordinator awe mazaliwa ya location hiyo; hiyo hiyo tu. Anaweza shika watu<br />
kiuchumi, kitamaduni, kisiasa yeye si mgeni. Kwa hivyo hapo tena kama mtu ameishi kwa district hiyo, hakuzaliwa na ame<br />
register, kwamba anaishi katika location hiyo, anaishi katika region hiyo he is also legible na anaweza kuapply lakini apitie secret<br />
ballot. Sio kwamba ni na nyuma wale wengine wanaishi katika location hiyo.<br />
Jambo lingine ni kuhusu requirement. Kitu gani kinatakikana. Nimesema mbeleni ya kwamba awe mazaliwa lakini jambo lingine<br />
iwe anajua huyo coordinator. Awe amesoma ako na degree in the field of humanity. Sio ya kwamba ukicheza utaniona. Mimi<br />
ni PC. Tumeona PC, ukiona PC ni millionaire ako na nyumba ya tile yeye alipata wapi pesa? Ako na mashamba. Hakuna PC<br />
ambaye ako acre tano kama mimi. (clapping) Ni kwa sababau aliharibu mamlaka yake. Hakuna what I am saying is that we<br />
should not have appointments kwamba kwenda kwa DC kwa Kakamega. Kila mtu a face people. This is democracy.<br />
Jambo lingine awe amefikisha miaka thelathini amekomaa.<br />
Com Ayonga: Na miaka yake ya mwisho?<br />
Job Kandie: Ya mwisho (interjection)<br />
Com. Asiyo: Sabini au themanini?<br />
Com. Ayonga: Na kama watu wanampenda?<br />
Job Kandie: Kama watu wanapenda yeye you know, what we want is a productive man. Anaweza kuendelea tuki-enjoy fruits<br />
zake mpaka tisini na tano. Kwa sababu kama nina enjoy uongozi wake, what I want is good leadership. But 65 tafadhali.<br />
Com. Asiyo: Kwa hivyo watu kama sisi umetuondoa kabisa.<br />
Job Kandie: Umefika miaka ngapi?<br />
Com. Asiyo: Sitini na tano. Angali uko miaka tano.<br />
Job Kandie: Jambo lingine awe uhuru kwa makosa yote. Free from any criminal offence. Very clean. Na tena kama<br />
inaezekana awe kwa application yake kwa regional electoral commission aonyeshe lengo lake atafanya nini sisi. Sio ya<br />
35