05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Com. Asiyo: Mpaka miaka kumi na nane? Sasa sema ya mwisho.<br />

Harun Kandie: Ya mwisho ningeenda upande wa siasa. Hii watu wetu wa siasa. Siku hizi wanaenda parliament wiki mzima.<br />

Zamani wakati wa ukoloni sisi tulikuwa vijana Mbunge alikuwa anakuja, ikifungwa parliament anakuja mahali kwa wananchi<br />

kuchukua maoni ya wananchi. Lakini siku hizi hatuoni.<br />

Com. Ayonga: Sasa hiyo unataka aje?<br />

Harun Kandie: Tunataka hiyo iwekwe sheria kwa sababu sisi tunaandika yeye.<br />

Com. Ayonga: Weka sheria.<br />

Com. Asiyo: Sasa hiyo sheria ndiyo tunataka utambie sasa mara hiyo sheria yako ndiyo tunataka.<br />

Harun Kandie: Sheria hii yake tunataka wakati bunge hakuna, akuwe na watu wake.<br />

Com. Asiyo: Na kama hakukuja?<br />

Harun Kandie: Basi wananchi watajua (interjection)<br />

Com. Asiyo: Kama hakukuja tupatie sheria hiyo natuandike namna gani?<br />

Harun Kandie: Sasa kama huyu mtu hajakuja inaonekana hajui kazi yake wananchi wata-vote yeye out.<br />

Com. Asiyo: Kwa hivyo (inaudible) ni watu wangapi wanaoweza wanataka huyu mtu arudi nyumbani wachague mbunge<br />

mwingine. Watu wangapi kwa (inaudible)<br />

Harun Kandie: Nikirudi nyuma kidogo kuna mzee ameandika mambo ya (inadible)<br />

Com. Asiyo: Kama mtu hajafanya kazi yake kama Mbunge, na watu hawatosheki unataka Mjumbe mpya unataka watu<br />

wangapi wazee waseme kwa kweli huyu hajafanya kazi yake ndiyo tuwe na mpango ya kufanya recall yaani kurudisha yeye<br />

nyumbani halafu mtu mwingine achaguliwe? Maana kuna fitina mingi kama yule mtu aliangushwa anaweza tafuta watu kumi na<br />

mbili watu elfu moja waandike barua huyu mtu arudi hapa hatujaona yeye hafanyi kazi tunataka aondolewe. Na hiyo imeleta<br />

fitina nyingi sana katika nchi hii ta Kenya. Na wewe unajua fitina ya (inaudible) sasa tuambie unataka tufanye namna gani?<br />

20

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!