05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Com. Asiyo: Asante sana tumeshukuru kabisa kabisa. Sasa namuuliza Councillor kwanza. Cllr David Morogo aje aongeleze<br />

sisi ndipo tutamwita Bw. Javan Lagat. Councillor wewe uko karibu? Cllr. Morogo. Haya Javan kuja uongea. Lakini<br />

mmweleze Councillor tunataka sana maoni yake juu ya katiba mpya hii aje aongee na sisi.<br />

Javan Lagat: Kwa majina naitwa Javan Lagat. Mimi tu napenda kushukuru kwa vile mmefika upande huu na huenda kuwa<br />

hamngeweza lakini kwa mapenzi yake Mwenyezi Mungu. Jambo tu ambalo ningependa kusitisa sana iwe katika katiba yetu ni<br />

ni kwamba katika mashule yetu tunataka hii maneno ya katiba inapokamilishwa ifunzwe wanafunzi kutoka darasa na nane na<br />

kuendelea hadi chuo kikuu. Ikiwa kwamba watakuwa wakijua sheria na wajue kila kitu na mahali ambapo kama mtu atakosa<br />

atajua.<br />

Lingine ni kuhusu upande wa wafanyi kazi. Unaona upande wa vijana sana wakati huu, tunaona kwamba kazi haipatikani na<br />

unaona kwamba tungependa serikali ihimize kwamba mtu anapofika miaka hamsini na tano, aende nyumbani. Na akishaa enda<br />

nyumbani he should not vie for any seat. Let the young people do that because we have people who are elite and (interjection)<br />

Com. Asiyo: …watu wa miaka hamsini na tano… (inaudible)<br />

Javan Lagat: They retire and they should not vie for any seat, yeah. Jambo lingine ni kwamba tunapata wakati wa uchaguzi<br />

kama wa wabunge na councillors, tunataka kwamba kama wanachaguliwa wachaguliwe na itumiwe secret ballot pia counting<br />

ifanywe katika polling station.<br />

Com Asiyo: Na hiyo imefanyika tayari.<br />

Javan Lagat: Ok thank you. Jambo lingine pia, ni kwamba nomination kwa bunge ifanywe kwa wale ambao tuaita disabled<br />

but educated. Those people with disability but educated. Another thing, ni councillors. Councillors wakuwe nominated na iwe<br />

kama with disability lakini wanajua kusoma. Na lingine pia ni wamama wapewe nafasi ya kuwa nominated especially<br />

councillors na wabunge wamama pia wapewe nafasi at least 10% in the government because mimi nili propose federal<br />

government. Ingine ni kuhusu pesa inayopatikana. Unapata ya kwamba wajumbe wanapochaguliwa wanatumia pesa kwa njia<br />

baya ama kwa njia ambayo sio nzuri. Kile ningependa ni kwamba pesa ikunje kwa wananchi ipitie cooperative society and<br />

then it will be managed by the wananchi in projects ambazo ziko kwa that particular area.<br />

Kuhusu maneno ya insurance. Unapata kwamba other countries like America people are insured and you find that in Kenya if<br />

people are insured for example mtu anapochukua insurance ya gari mtu anapopata accident yhou find that the family of the<br />

deceased people wanakuwa na shida ya kupata ile beneficiary kutoka kwa institution. So inatakiwa sisi serikali the central<br />

government ifanye juhudi kwamba if at least that thing is done it should be within the local authority.<br />

Jambo nafikiri la mwisho ni kwamba Rais asiwe na mamlaka zaidi. For example awe kuwa mkuu wa majeshi, we want the<br />

minister concerned to take over. And another thing is like our universities you see that the President is the chancellor. We want<br />

the chancellor of that university to be the chancellor and then we have to find a chancellor not the president and we limit. And<br />

43

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!