05.06.2013 Views

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet

SHOW MORE
SHOW LESS

Create successful ePaper yourself

Turn your PDF publications into a flip-book with our unique Google optimized e-Paper software.

Director kule, halafu kama kuna kijana akienda kuuliza kazi anaulizwa, “wewe unatoka wapi, wewe ni mtoto ya nani, hiyo kitu<br />

tunauliza serikali yetu au tunauliza commission hiyo kitu irudishwe kwa mwananchi. Sababu wananchi wenyewe wanajua tuko<br />

na watu wa universities wanaweza kufanya kazi kama hiyo.<br />

Ingine Bw. Commissioner ni kuhusu President, yule anataka kuwa President. Awe akichaguliwa na watu kutoka chini sio<br />

kwamba kwa sababu wakati huu tunaona tukiwa chini tukiwa macouncillors, tunaona wabunge wanakuja chini na kuombea mtu<br />

kazi au President, hatutaki namna hiyo. Sisi tunataka mtu auze policy yake kwa mwananchi sio mimi nikiwa chairman ya<br />

Councillor nikiwa Mbunge mimi naenda kiwajani kusema nani anaosha kuwa President. Hapana. Sisi tunataka mtu akitaka<br />

kuwa President yeye anakuja kuuza policy yake country wide, wananchi wenyewe wataumua kama yeye anatosha, au hatoshi.<br />

Hiyo tunaomba kabisa Commissioners iwekwe iwe clean kabisa.<br />

Com. Asiyo: Ok, the next one.<br />

Cllr. Mitei: Neno la pili, hata Speaker wa Bunge achaguliwe na raia. Sio kwamba yeye ni bunge aende achaguliwe kwa<br />

sababu yeye yuko na rafiki yake hapo. Yeye atoke nje tu aseme mimi nimesoma nimefika class fulani na mimi niko na<br />

experience fulani na mimi naweza kuwa Speaker wa parliament.<br />

Com. Asiyo: Achaguliwe na bunge?<br />

Cllr. Hosea Mitei: Achaguliwe na raia. Ya mwisho ni kuhusu mshahara ya wabunge. Mshahara wakati wanataka<br />

kuongezewa mshahara, hata mfanyi kazi wowote wa serikali waongezwe vile wanavyotaka, vile wanapigania yao. Kwa sababu<br />

hata wafanyi kati wa serikali wanafanyia service mwananchi kama wabunge vile wanavyofanyia. Kwa hivyo mshahara<br />

wakiongeza yao mfanyi kazi wa serikali aongezewe. (clapping) Kwa sababu unaweza kuta waalimu wanaumia hapa na hao hao<br />

waalimu walifundisha yule Professor Mbunge. Kwa hivyo ni heli akiongeza mshahara wake waalimu waongezewe, polisi<br />

aongezewe, councillors waongezewe. Sio kwamba mtu akifika mahali fulani akifika anajua yeye ameshiba anaenda kushiba<br />

zaidi na amesahau ni nani alimchagua.<br />

Com. Ayonga: Tengeneza point yako. Na unataka nani awaongeze mshahara?<br />

Cllr. Hosea Mitei: Mshahara watangaze kwamba mshahara inatakiwa kuongezwa watangaze hata kama wako parliament<br />

itangazwe pale na iwe mshahara ni uniform.<br />

Com. Ayonga: Lakini wewe umeshajua nchi ambayo wananchi watatangaziwa ndipo waseme mshahara utakuwa namna hivi<br />

mbila ya kuwa na body ambayo ingekuwa inangalia maneno ya mshahara?<br />

Cllr. Hosea Mitei:Hawajatengeneza board wanapitisha tu.<br />

Com. Ayonga: Ndio, lakini to recommendation.<br />

Cllr. Hosea Mitei: Recommendation yangu itengenezwe board yao na mfanyi kazi wa serikali.<br />

Com Ayonga: Sindio, uwaambie unachotaka board iwemo ya kutengeneza mambo ya mishahara.<br />

Cllr. Hosea Mitei: Asante kwa kunisaidia bwana. Basi ni heli board itengenezwe ya kuangalia mshahara ya wabunge, mfanyi<br />

kazi wa serikali na mtu yeyote anaetumikia mwananchi. Kwa hivyo Bw. Commissioners nimechelewa na ningekuwa tu na<br />

48

Hooray! Your file is uploaded and ready to be published.

Saved successfully!

Ooh no, something went wrong!