TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Charles Sitienei: Ingine hiyo imesemwa. Ingine haijasemwa ni kama hii, tangu 92 tuingie multi-party era serikali ambayo<br />
inakuja mamlakani ina-develop sehemu ina a zone. Inaweka eti hii sehemu ni zone fulani. Hiyo zone we don’t want. Kenya<br />
yote ni moja. Mtu wa opposition anatoa kodi. Ama namna gani? Mimi natoa kodi na kila mtu anatoa kodi so we don’t want<br />
zones. Hiyo kwanza rule out. Zone we don’t want.<br />
Com. Asiyo: Hata haiko kwa katiba hiyo ni fikira ya watu.<br />
Charles Sitienei: Na kwa nini mtu basi anasema hii ni zone ya KANU, hii ni ya nani hatutaki hiyo. So katiba iseme hatutaki<br />
zone Kenya ni moja. Ingine ya saba ni Kenya must remain a multi-party state. Usiamke asubuhi useme nimepiga marufuku<br />
chama ingine, hiyo no.<br />
Com. Ayonga: Hata ikiwa mia moja?<br />
Charles Sitienei:Chama tunataka iwe nne au tano. Lakini usisema eti Kenya iwe na chama moja. No, msirudishe sisi kwa<br />
wakoloni tena.<br />
Com. Asiyo: Lakini hiyo haiwezekani…..(inaudible)<br />
Charles Sitienei: Kwa nini haiwezekani na tukiingia uhuru tulikuwa multi-party? Kwa nini ilipotea?<br />
Com. Ayonga: Basi sasa huu ni wakati mwingine mwaka 2000…<br />
Charles Sitienei: Watu wanaweza kununuliwa Bw. Commissioner.<br />
Com. Ayonga: Hapana.<br />
Charles Sitienei: Haya ingine karibu ya mwisho ni provincial administration should be scrapped away. Haijasaidia chochote.<br />
Hiyo ni colonial ham ya kunyanyasa wananchi.<br />
Ya tisa, in kwamba Wakenya tulipigana tupate uhuru na tukule matunda ya uhuru lakini leo Wahindi ndio wanakula matunda ya<br />
Kenya, sio sisi. So tunataka kama ni Wahindi wanafanya biashara Kenya tusema 80% yao ya profit ibaki Kenya. Na kama ni<br />
twenty percent iende kwao. Lakini tunataka percentage kubwa ikae nchi yetu.<br />
Com.Asiyo: Kwa nini 20% iende kwao?<br />
Charles Sitienei: Kwa sababu labda wanasema hata wazazi wao wako huko India.<br />
Com. Asiyo: Wao ni watu wa hapa?<br />
53