TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
TUESDAY, JULY 9TH, 2002 - ConstitutionNet
You also want an ePaper? Increase the reach of your titles
YUMPU automatically turns print PDFs into web optimized ePapers that Google loves.
Com. Asiyo: Sasa ningependa Bw. Charles Sitienei alikuwa amefika hapa mbele na Charles akimaliza kuongea ili tuende<br />
haraka sana nitamuita Bw. Jacob Kipsui.<br />
Charles Sitienei: Jina langu ni Charles Sitienei, mimi ni mgaaji wa area hii na ningependa ni wapongeze kwanza<br />
commissioners, na kabla sijasoma mambo nimaandika if I am not wrong or right I am one of the few Kenyans ambao tumeona<br />
commissions zikiundwa tangu 1960 mpaka leo, na hizo commissions findings zao haziwezi kutolewa so if this one of yours is fine<br />
then (interjection)<br />
Com. Ayonga: Itatolewa,<br />
Charles Sitienei: Itatolewa? Are you sure hii maneno tunatoa ….<br />
Com. Asiyo: Hata sasa imetolewa …… (inaudible) ile inasemwa inatolewa siku hiyo.<br />
Charles Sitienei: So mimi nitasema macheche ambaye wale wamekuja hawajasema. Next parliament tunataka parliament<br />
ambayo ni Supreme. Hatutaki parliament ambayo mtu analala kesho anasema nimevunja parliament. That is wrong. Tunataka<br />
parliament ambayo iko na calender yake, ambayo inaendesha mambo yake mbila kuingiliwa na mtu yeyote, ili hii mambo ya<br />
sycophants tusione. Mambo ya wengine kuenda kulalia wengine.<br />
Defection: Mambo ya kuruka ruka vyama. Tunachagua mtu kupitia chama hii anaenda naruka chama hiyo ingine. Hiyo mimi<br />
naona huyo mtu anafanyia sisi wananchi biashara.<br />
Com. Ayonga: Kwa hiyo unataka aje?<br />
Com. Asiyo: Pendekeza.<br />
Charles Sitienei: Pendekezo ni kwamba ukidefect huwezi kuruhusiwa kusimama miaka ingine tano.<br />
Com. Asiyo: Ok, next one.<br />
Charles Sitienei: Next one ambayo haijasema upande huu ni President apewe term mbili ya kusimama. Councillor namna<br />
hiyo, MP namna hiyo kwani wewe ulizaliwa pekee yako uongoze watu milele?<br />
Com. Asiyo: Sema tu.<br />
Charles Sitienei: Marginalized communities, watu ambao wamenyanyaswa Kenya hii, serikali ya Kenyatta ilipokuweko watu<br />
wengine hata hawakuona shule, so serikali icompensate hao watu. Huwezi kuambia mtu ya Turkana (inaudible) na mtu anaishi<br />
Kiambu, sababu huko imekuwa developed. So wale watu ambao wamenyanyaswa, marginalised communities katika Kenya hii<br />
kuanzia enzi ya wakololoni serikali ya Kenyatta,<br />
Com. Asiyo: Wafanyiwe namna gani?<br />
Charles Sitienei: Wawe compensated kama ni shamba yao walinyang’anywa warudishiwe shamba, 50 acres. Kama hiyo<br />
familiy imekufa family yao iangaliwe. Juzi tulikuwa na hii mambo ya Kaleti??? Land wengi mlisikia. Wanaranda randa Kenya<br />
hii na ndiyo walipigania uhuru. Na wale watu wanagaa wanakula ni wale watu hakufanya chochote. So tunataka marginalised<br />
communities wawe compensated. Makabila yote ya Kenya kuanza huko mwisho mpaka mwisho sio kabila moja.<br />
Com. Asiyo: Haya nyingine la mwisho?<br />
52